Kukutana na Wazazi wa Mwanaume

Kukutana na Wazazi wa Mwanaume

Bebz

Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
80
Reaction score
12
Habari wandugu,
Wacha niende moja kwa moja kwenye mada.

Weekend nilitoka na shemeji yenu kama kawaida na katika maongezi ya hapa na pale akaniambia kuwa wazazi wake watakua mjini karibuni na angependa kama ningeenda kuwasalimia.

Sasa tatizo si kwamba ni vibaya kwenda kuwasalimia wazazi ila naona kama ni mapema mno kufanya hivyo kwani tangu nimemjua huyu kijana yapata miezi kama sita na sijawahi kumtamkia kuwa nampenda au la lakini tumekuwa tukitoka kuongea na kushauriana hapa na pale. Jambo ambalo linanifanya iwe ngumu kwangu kuamua na inachangia kwa upande mwingine ni kwamba tunafanya kazi sehemu moja japo hatuonani mara kwa mara labda accidentally wakati wa mlo wa mchana na pia bado najaribu kumwelewa baadhi ya vitu afanyavyo japo huwa tunalingana kwenye mitazamo mingi na kijana huyu ameenda mbele zaidi na ku-propose ndoa anachosubiri ni jibu langu tu.

Naomba kuuliza,
1. Je ni sahihi mimi kwenda kusalimia wazazi wake?
2. Kudate na mtu wa sehemu moja ya kazi kuna hasara yake kubwa zaidi ya faida, je kuna mtu aliye-experience hiki kitu?(Naomba mtazamo wako)
3. Kwa wanaume:.. Kama uliwahi kupropose kwa msichana unayempenda, je nini ulikua ukitegemea kwenye tendo hilo?
4. Kwa wanawake:.. Ingekuwa ni wewe je ungeenda?
 
Ukawaone wazazi ili uweje? Kama huja make up.akili yako mzungushe.
 
Habari wandugu,
Wacha niende moja kwa moja kwenye mada.

Weekend nilitoka na shemeji yenu kama kawaida na katika maongezi ya hapa na pale akaniambia kuwa wazazi wake watakua mjini karibuni na angependa kama ningeenda kuwasalimia.

Sasa tatizo si kwamba ni vibaya kwenda kuwasalimia wazazi ila naona kama ni mapema mno kufanya hivyo kwani tangu nimemjua huyu kijana yapata miezi kama sita na sijawahi kumtamkia kuwa nampenda au la lakini tumekuwa tukitoka kuongea na kushauriana hapa na pale. Jambo ambalo linanifanya iwe ngumu kwangu kuamua na inachangia kwa upande mwingine ni kwamba tunafanya kazi sehemu moja japo hatuonani mara kwa mara labda accidentally wakati wa mlo wa mchana na pia bado najaribu kumwelewa baadhi ya vitu afanyavyo japo huwa tunalingana kwenye mitazamo mingi na kijana huyu ameenda mbele zaidi na ku-propose ndoa anachosubiri ni jibu langu tu.

Naomba kuuliza,
1. Je ni sahihi mimi kwenda kusalimia wazazi wake?
2. Kudate na mtu wa sehemu moja ya kazi kuna hasara yake kubwa zaidi ya faida, je kuna mtu aliye-experience hiki kitu?(Naomba mtazamo wako)
3. Kwa wanaume:.. Kama uliwahi kupropose kwa msichana unayempenda, je nini ulikua ukitegemea kwenye tendo hilo?
4. Kwa wanawake:.. Ingekuwa ni wewe je ungeenda?

Hii signecha yako si inaapply hata kwako?

Advice is what we ask for when we already know the answer but we wish we didn't.
Bado unahitaji ushauri?
 
Ikiwa unampenda nenda!
Ikiwa humpendi usende!

Miezi 6 bado haujajua tabia zake?
Na mpo karibu maeneo yenu ya kazi?
Na week end mnatoka?
Na misosi mnakwenda wote?
...
Mmmh! Lala nae frm night to morn huenda ukazijua tabia zake!
 
heri nusu shari kuliko shari kamili.

Mbaya sana kuja kumtosa mtu na hali jeshakutambulisha kwa wazazi wake kama 'mtarajiwa wake'

Labda atuweke wazi, motive ya kwenda kuwasalimia ni ipi?

Hivi ndio mnafanyaga kumbe ........!!
 
Habari wandugu,
Wacha niende moja kwa moja kwenye mada.

Weekend nilitoka na shemeji yenu kama kawaida na katika maongezi ya hapa na pale akaniambia kuwa wazazi wake watakua mjini karibuni na angependa kama ningeenda kuwasalimia.

Sasa tatizo si kwamba ni vibaya kwenda kuwasalimia wazazi ila naona kama ni mapema mno kufanya hivyo kwani tangu nimemjua huyu kijana yapata miezi kama sita na sijawahi kumtamkia kuwa nampenda au la lakini tumekuwa tukitoka kuongea na kushauriana hapa na pale. Jambo ambalo linanifanya iwe ngumu kwangu kuamua na inachangia kwa upande mwingine ni kwamba tunafanya kazi sehemu moja japo hatuonani mara kwa mara labda accidentally wakati wa mlo wa mchana na pia bado najaribu kumwelewa baadhi ya vitu afanyavyo japo huwa tunalingana kwenye mitazamo mingi na kijana huyu ameenda mbele zaidi na ku-propose ndoa anachosubiri ni jibu langu tu.

Naomba kuuliza,
1. Je ni sahihi mimi kwenda kusalimia wazazi wake?
2. Kudate na mtu wa sehemu moja ya kazi kuna hasara yake kubwa zaidi ya faida, je kuna mtu aliye-experience hiki kitu?(Naomba mtazamo wako)
3. Kwa wanaume:.. Kama uliwahi kupropose kwa msichana unayempenda, je nini ulikua ukitegemea kwenye tendo hilo?
4. Kwa wanawake:.. Ingekuwa ni wewe je ungeenda?

We unaonekana unabwana mwingine, na unataka kuwa fisi angalia tu usije ukapasuka msamba.
 
Ikiwa unampenda nenda!
Ikiwa humpendi usende!

Miezi 6 bado haujajua tabia zake?
Na mpo karibu maeneo yenu ya kazi?
Na week end mnatoka?
Na misosi mnakwenda wote?
...
Mmmh! Lala nae frm night to morn huenda ukazijua tabia zake!

Umenifanya nicheke.
Kulala nae bado sana.
Misosi hatuendi wote tunakutana tu sehemu hiyo yeye akiwa na wenzake na mimi nikiwa na rafiki zangu.

Sijajua kama nampenda au la!
 
Hii signecha yako si inaapply hata kwako?

Advice is what we ask for when we already know the answer but we wish we didn't.
Bado unahitaji ushauri?

Ndio hapo bado nahitaji ushauri.
 
Habari wandugu,
Wacha niende moja kwa moja kwenye mada.

Weekend nilitoka na shemeji yenu kama kawaida na katika maongezi ya hapa na pale akaniambia kuwa wazazi wake watakua mjini karibuni na angependa kama ningeenda kuwasalimia.

Sasa tatizo si kwamba ni vibaya kwenda kuwasalimia wazazi ila naona kama ni mapema mno kufanya hivyo kwani tangu nimemjua huyu kijana yapata miezi kama sita na sijawahi kumtamkia kuwa nampenda au la lakini tumekuwa tukitoka kuongea na kushauriana hapa na pale. Jambo ambalo linanifanya iwe ngumu kwangu kuamua na inachangia kwa upande mwingine ni kwamba tunafanya kazi sehemu moja japo hatuonani mara kwa mara labda accidentally wakati wa mlo wa mchana na pia bado najaribu kumwelewa baadhi ya vitu afanyavyo japo huwa tunalingana kwenye mitazamo mingi na kijana huyu ameenda mbele zaidi na ku-propose ndoa anachosubiri ni jibu langu tu.

Naomba kuuliza,
1. Je ni sahihi mimi kwenda kusalimia wazazi wake?
2. Kudate na mtu wa sehemu moja ya kazi kuna hasara yake kubwa zaidi ya faida, je kuna mtu aliye-experience hiki kitu?(Naomba mtazamo wako)
3. Kwa wanaume:.. Kama uliwahi kupropose kwa msichana unayempenda, je nini ulikua ukitegemea kwenye tendo hilo?
4. Kwa wanawake:.. Ingekuwa ni wewe je ungeenda?


Kuna vitu haujaweka wazi hasa kwenye red ebu funguka zaidi nikupe maushauri.
 
hivi unajishikisha shikishana nae wa nini wakati huna future nae ,... si umwache acha kumpotezea muda kaka wa watu.... mwenzio katongoza kwa vitendo unataka aandike barua aiii... chagua kupenda au kumwacha

Si mimi ninaejishikisha yeye ndio yuko tayari kusubiri sasa acha asubiri wakati naendelea kumchunguza. I wish angeandika barua maana ingetupwa tu nikasahau.

Pia ushauri ndio kwenye maswala hayo manne chini.
 
Kwa maelezo yako humpendi. Msichana/mwanamke anayespend na mtu 6month kama anampenda anajua na kama hampendi anajua. Kijana wa watu yupo real and serious......usimpotezee muda tafadhali.
Isitoshe haupo single....kuna mtu unaflirt nae.
Chagua moja
 
heri nusu shari kuliko shari kamili.

Mbaya sana kuja kumtosa mtu na hali jeshakutambulisha kwa wazazi wake kama 'mtarajiwa wake'

Labda atuweke wazi, motive ya kwenda kuwasalimia ni ipi?

According to yeye atakuwa wazi kusema anavyojisikia lakini bado sijampa nafasi, ni hivyo tu.
 
Kuna vitu haujaweka wazi hasa kwenye red ebu funguka zaidi nikupe maushauri.

MAra nyingi tunaongea maswala ya kazi,labda yeye kuna kitu kinamkwaza namshauri na wakati wa furaha huwa ananiambia na mimi nikisikia kukaa na kuongea na mtu huwa tunaongea na ananipa ushauri wake,nothing else Ngongo.
 
Umenifanya nicheke.
Kulala nae bado sana.
Misosi hatuendi wote tunakutana tu sehemu hiyo yeye akiwa na wenzake na mimi nikiwa na rafiki zangu.

Sijajua kama nampenda au la!

Miezi sita + ukaribu wote huo kashindwa kukudona!!!!!
...
Hata kwa wazazi wake usende!
 
Kwa maelezo yako humpendi. Msichana/mwanamke anayespend na mtu 6month kama anampenda anajua na kama hampendi anajua. Kijana wa watu yupo real and serious......usimpotezee muda tafadhali.
Isitoshe haupo single....kuna mtu unaflirt nae.
Chagua moja

SIo kila mtu huwa ana-anguka ovyo kwenye mapenzi kama ufikiriavyo. Mimi hunichukua hata mwaka kuja kumwambia mtu nampenda so sishangai kwa hilo. Pia ku-flirt is not my thing, life has more to offer than branches ya michepuko
 
Miezi sita bado hujajua kama unampenda au la!!! Usimpotezee muda wake ila akija kuchukua mrembo mwingine usije kuanzisha uzi hapa wa kulialia jamaa kanitosa na mimi ndio nimegundua kwamba kumbe nilikuwa nampenda.

Umenifanya nicheke.
Kulala nae bado sana.
Misosi hatuendi wote tunakutana tu sehemu hiyo yeye akiwa na wenzake na mimi nikiwa na rafiki zangu.

Sijajua kama nampenda au la!
 
Habari wandugu,
Wacha niende moja kwa moja kwenye mada.

Weekend nilitoka na shemeji yenu kama kawaida na katika maongezi ya hapa na pale akaniambia kuwa wazazi wake watakua mjini karibuni na angependa kama ningeenda kuwasalimia.

Sasa tatizo si kwamba ni vibaya kwenda kuwasalimia wazazi ila naona kama ni mapema mno kufanya hivyo kwani tangu nimemjua huyu kijana yapata miezi kama sita na sijawahi kumtamkia kuwa nampenda au la lakini tumekuwa tukitoka kuongea na kushauriana hapa na pale. Jambo ambalo linanifanya iwe ngumu kwangu kuamua na inachangia kwa upande mwingine ni kwamba tunafanya kazi sehemu moja japo hatuonani mara kwa mara labda accidentally wakati wa mlo wa mchana na pia bado najaribu kumwelewa baadhi ya vitu afanyavyo japo huwa tunalingana kwenye mitazamo mingi na kijana huyu ameenda mbele zaidi na ku-propose ndoa anachosubiri ni jibu langu tu.

Naomba kuuliza,
1. Je ni sahihi mimi kwenda kusalimia wazazi wake?
2. Kudate na mtu wa sehemu moja ya kazi kuna hasara yake kubwa zaidi ya faida, je kuna mtu aliye-experience hiki kitu?(Naomba mtazamo wako)
3. Kwa wanaume:.. Kama uliwahi kupropose kwa msichana unayempenda, je nini ulikua ukitegemea kwenye tendo hilo?
4. Kwa wanawake:.. Ingekuwa ni wewe je ungeenda?

Ukienda kuwasalimia wazazi wake maana yake umekubali proposal yake. Kama huna mpango huu ndio muda wa kumueleza aanze mbele.
Wakati mwingine wengine hulalamika kutotambukishwa kwa ndugu wa mwanaume. Nafasi ndio hiyo. Kusuka ama kunyoa. Usipoenda atasoma alama za nyakati utakuja stukia anaoa!
 
Back
Top Bottom