Kukutana na Wazazi wa Mwanaume

Kukutana na Wazazi wa Mwanaume

Miezi sita bado hujajua kama unampenda au la!!! Usimpotezee muda wake ila akija kuchukua mrembo mwingine usije kuanzisha uzi hapa wa kulialia jamaa kanitosa na mimi ndio nimegundua kwamba kumbe nilikuwa nampenda.

Uzi hapana hautakuwepo. Sema nadhani naogopa to fall kwa huyu kijana ni hilo tu sasa ukiniuliza sababu ndio ntakwambia sina.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umenifanya nicheke.
Kulala nae bado sana.
Misosi hatuendi wote tunakutana tu sehemu hiyo yeye akiwa na wenzake na mimi nikiwa na rafiki zangu.

Sijajua kama nampenda au la!

Wewe unaonekana hujajitambua na lazima utakuwa mboga Saba aisee
 
umesema ni shemeji yetu lakin hujawah kumtamkia kama unampenda asa hapo napata ukarara ufafanuzi tafadhar
 
 
Last edited by a moderator:
umesema ni shemeji yetu lakin hujawah kumtamkia kama unampenda asa hapo napata ukarara ufafanuzi tafadhar

ndo hicho na me nkataka niulize...,


shemeji yetu hafu hujamkubalia...???

Si angesema mkaka naamini pia mleta mada hajielewi
 
Bebz, nashindwa kuelewa kitu hapa..
..anawezaje mtu ku-propose kukuoa wakati wewe hata hujamtamkia kuwa unampenda?
..1. Kama humpendi na huoni kama unaweza kukubali proposal yake(kuolewa) usiende kumuona mzazi wake
..3. Kufanya proposal Mara nyingi mtu anakuwa na uhakika angalau kuwa anapendwa, sasa Mimi sielewi mwanaume anafanyaje proposal ya kuoa wakati anajua msichana hampendi..hii naina kwako na partner wako.
 
Last edited by a moderator:
Habari wandugu,
Wacha niende moja kwa moja kwenye mada.

Weekend nilitoka na shemeji yenu kama kawaida na katika maongezi ya hapa na pale akaniambia kuwa wazazi wake watakua mjini karibuni na angependa kama ningeenda kuwasalimia.

Sasa tatizo si kwamba ni vibaya kwenda kuwasalimia wazazi ila naona kama ni mapema mno kufanya hivyo kwani tangu nimemjua huyu kijana yapata miezi kama sita na sijawahi kumtamkia kuwa nampenda au la lakini tumekuwa tukitoka kuongea na kushauriana hapa na pale. Jambo ambalo linanifanya iwe ngumu kwangu kuamua na inachangia kwa upande mwingine ni kwamba tunafanya kazi sehemu moja japo hatuonani mara kwa mara labda accidentally wakati wa mlo wa mchana na pia bado najaribu kumwelewa baadhi ya vitu afanyavyo japo huwa tunalingana kwenye mitazamo mingi na kijana huyu ameenda mbele zaidi na ku-propose ndoa anachosubiri ni jibu langu tu.

Naomba kuuliza,
1. Je ni sahihi mimi kwenda kusalimia wazazi wake?
2. Kudate na mtu wa sehemu moja ya kazi kuna hasara yake kubwa zaidi ya faida, je kuna mtu aliye-experience hiki kitu?(Naomba mtazamo wako)
3. Kwa wanaume:.. Kama uliwahi kupropose kwa msichana unayempenda, je nini ulikua ukitegemea kwenye tendo hilo?
4. Kwa wanawake:.. Ingekuwa ni wewe je ungeenda?

Hujielewi
 
Mapenzi ya siku hizi siyaelewi.Mnatambulishana kwa wazazi kabla ya kutongozana?

Na siku hizi mtu kukutongoza hadi umruhusu? Sasa wazazi mnswaonea tu, hawatawaelewa.

Tongozaneni kwanza, mkikubaliana mpigane kitu weeeee, mkiwa bado mnahitajiana ndo mwende kwa wazazi.

Sasa hivi zaweza kuwa genye tu, nazo huwa zinachanganya kweli, a unaisoma d.

According to yeye atakuwa wazi kusema anavyojisikia lakini bado sijampa nafasi, ni hivyo tu.
 
Swali hapa ni je wazazi 'wazungu' au wazazi Waafrika hasa? Wazazi Wazungu hawana shida na kutambulishwa girlfriend au workmate..but wazazi Waafrika ipo Kazi
 
Me nahisi humpendi huyo kijana full stop. Coz it doesn't make sense that upo na mtu miezi 6 na hujui kama unampenda au hapana. Sitaki kuamini kama bado miezi 6 yote unamchunguza tu coz so far huwezi ukapoteza muda wako kumchunguza mtu usiyempenda.

All in all usimpotezee muda mkaka wa watu, you are not into him. Wenzako wanatamani watambulishwe tu hata kwa marafiki wa boys wao na hawapati hiyo chance, afu wewe unataka kupelekwa kwa wazazi na unazingua loooh hujampenda mkaka wa watu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Bebz, nashindwa kuelewa kitu hapa..
..anawezaje mtu ku-propose kukuoa wakati wewe hata hujamtamkia kuwa unampenda?
..1. Kama humpendi na huoni kama unaweza kukubali proposal yake(kuolewa) usiende kumuona mzazi wake
..3. Kufanya proposal Mara nyingi mtu anakuwa na uhakika angalau kuwa anapendwa, sasa Mimi sielewi mwanaume anafanyaje proposal ya kuoa wakati anajua msichana hampendi..hii naina kwako na partner wako.

Kitu nachodoubt ni kwamba anataka mambo yaende haraka mno na anapanga mambo ya ndoa kabla sijampa jibu hivi ni sahihi?
 
Last edited by a moderator:
Mweh wengine sie wazazi walituonea kanisani....

Fata moyo wako mwaya
 
Si mimi ninaejishikisha yeye ndio yuko tayari kusubiri sasa acha asubiri wakati naendelea kumchunguza. I wish angeandika barua maana ingetupwa tu nikasahau.

Pia ushauri ndio kwenye maswala hayo manne chini.

Nenda kawaone wazazi wake
 
mahaba nichanganye kama bunge la katiba mie ahhhhhhhhh

mahaba nilipue kama mabomu ya gongo la mboto mie

mapenzi siri ya mtu fumbo kwa wengine
 
Kama u dont feel comfortable kuwaona wazazi wake don't go..mana ndo watajua mkwe huyo afu ukija pepea ukoo mzima wakuone shetani bure,
js tell him ur not ready for that
maybe mwaka ukiisha utajua what u feel
 
Back
Top Bottom