Kukurupuka kwa Rais Magufuli kuhusu sukari

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,356
16,379
Kama unaishi mtaani utagundua sukari imekua adimu sana katika maduka ya jumla kiufupi hsmna ukimuuliza mwenye duka anakwambia magufuli utazuiaje sukari ya nnje wakati ndani kwako sukari hamna? Wasambazaji wa sukari hizo kwenye maduka haya ukiwauliza wanakuambia sukari hamna kabisa viwandani kwetu tunasubiri iagizwe nnje ya nchi
Hua najiuliza nani alimdanganya magufuli kua tuna sukari ya kutosha? Ona sasa anaumbuka mwenyewe
 
Wale wamiliki wa viwanda vya sukari ndio walisema kwenye kikao kuwa w sukari ya kutosha! Sasa sijui kuna michezo hapo inachezwa ama la! Ukute wanaficha sukari bei ipand ndio wanatoa....dawa ku balance sukari ya ndani na pengo lizibwe kw kuagiza nje! Bei itasimama hapo hapo!
 
Back
Top Bottom