Huyo atakuwa anakula mayai ya chatu,🏃🏃😄Labda kama kuna jogoo jirani anayezengea vinginevyo hapana
Kuku wanataga mayai hakuna hata jogoo inakuwaje, sio bure kuna likuku huwa tena nahisi mida ya usiku usiku😂
Kuku wanao uwezo wa kutaga mayai bila kupandwa na jogoo.Kuku wanataga mayai hakuna hata jogoo inakuwaje, sio bure kuna likuku huwa tena nahisi mida ya usiku usiku😂