Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 274
jamaa mmoja alikuwa anakaanga mayai alivunja la kwanza halikuwa na kitu, akavunja la pili halikuwa na kitu, na la tatu halikuwa na kitu,...... akakasirika na kusema shenzhata kuku wanatumia kondom!