alsam
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 232
- 347
Habarini wadau
Je kuku wakubwa km jogoo au koounaweza kumpa change zote na kweli ikawa tiba ama kinga kwa Magonjwa.
Maana nina mpango wa kununua makoo mengi ili niwafanye kwa ajili ya kuuza mayai tu tray moja ni 15K. Sasa nimepiga hesabu naona kunua makoo ni rahisi kwa mazingira niliopo unaweza pata vijijini kwa 10K ambapo huyo akipfika ni kutaga na kuokota mayai na isitoshe eneo la free range lipo la kutosha tu.
Nikisema nianze kulea tena maana kuku wa kienyeji mpaka kutaga almost 6 months
Nakaribisha mawazo, mchango ushauri pia naomba kuwasilisha
NB Hela ni ngumu
Je kuku wakubwa km jogoo au koounaweza kumpa change zote na kweli ikawa tiba ama kinga kwa Magonjwa.
Maana nina mpango wa kununua makoo mengi ili niwafanye kwa ajili ya kuuza mayai tu tray moja ni 15K. Sasa nimepiga hesabu naona kunua makoo ni rahisi kwa mazingira niliopo unaweza pata vijijini kwa 10K ambapo huyo akipfika ni kutaga na kuokota mayai na isitoshe eneo la free range lipo la kutosha tu.
Nikisema nianze kulea tena maana kuku wa kienyeji mpaka kutaga almost 6 months
Nakaribisha mawazo, mchango ushauri pia naomba kuwasilisha
NB Hela ni ngumu