NITATOA USHUHUDA
JF-Expert Member
- Jul 6, 2017
- 757
- 728
Pata kuku broiler week 7 kwa7500 maeneo ya RUAHA karibu na chuo cha asukari morogoro [HASHTAG]#0759082811[/HASHTAG]
Ahahahhahahah ila yeye wakwake wana week 7 mkuu labda ndio kigezo alichotumia maana hawa wa shekilango wao ni wa week 4.ahahahDar sokoni shekilango wanauza 6,500 sembuse huko shamba Morogoro
Ingawa hajaeleza, yawezekana wakwake wamekuzwa kienyeji kwa kulishwa wadudu, majani, pumba kiasi hamna mashudu hivyo nyama yao tamu zaidi, wana uzito mkubwa kama kilo 2.5-3Ahahahhahahah ila yeye wakwake wana week 7 mkuu labda ndio kigezo alichotumia maana hawa wa shekilango wao ni wa week 4.ahahah
Sure kwasababu handling ya hawa kuku wa broiler ni very expensive so kwa week Saba kajitahd Sana mkuu.Ingawa hajaeleza, yawezekana wakwake wamekuzwa kienyeji kwa kulishwa wadudu, majani, pumba kiasi hamna mashudu hivyo nyama yao tamu zaidi, wana uzito mkubwa kama kilo 2.5-3