thisdayes JF-Expert Member Joined Oct 28, 2016 Posts 3,610 Reaction score 4,557 Jan 1, 2023 #21 Wapo wenye rangi kama ya Punda milia. Nataka awe anafanana na kaukuta cha bustani yangu. Kama wapo wa hivyo tuma picha, lengo awe anakaa kwenye maua siku nzima.
Wapo wenye rangi kama ya Punda milia. Nataka awe anafanana na kaukuta cha bustani yangu. Kama wapo wa hivyo tuma picha, lengo awe anakaa kwenye maua siku nzima.
R Rotomoto JF-Expert Member Joined Aug 22, 2017 Posts 1,032 Reaction score 2,049 Jan 1, 2023 #22 Yaani kuku waache Banda kusubiri kuchinjwa waanze kukaa sebleni na kudhurula kwenye magari, huu utani sasa
Yaani kuku waache Banda kusubiri kuchinjwa waanze kukaa sebleni na kudhurula kwenye magari, huu utani sasa