Kuku wa kienyeji wananyonyoka manyoa

Kuku wa kienyeji wananyonyoka manyoa

Kajole

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,668
Reaction score
1,660
Habari wakuu?.
Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo juu; nilianza na kuku wa kienyeji 10 kama wazaz (9 tetea na jogoo 1) na bahati nzur niliwatunza vizur na wakatotoa jumla vifaranga 94. Nilinyang'anya vifaranga na kuwatunza mimi ili mama zao waanze kutaga tena na kweli hii ni wiki ya tatu tetea wote wanatetea na mmoja kaanza kutaga.
TATIZO:
vifaranga baada ya kuhangaika nao kwa wiki tatu ni vifaranga 3 tu ndo walikufa na waliobaki wanaendelea vizur japo vifaranga 6 wametoka manyoa yamebaki machache sana ya kwenye mbawa na mkia, JE HILI NI TATIZO GANI NA NINI UTATUZI WAKE!?.
 
Ungeweka picha boss, unaweza pata ufafanuzi zaidi. mimi katika kufuga sijawahi kutana na hiyo changamoto
 
Habari wakuu?.
Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo juu; nilianza na kuku wa kienyeji 10 kama wazaz (9 tetea na jogoo 1) na bahati nzur niliwatunza vizur na wakatotoa jumla vifaranga 94. Nilinyang'anya vifaranga na kuwatunza mimi ili mama zao waanze kutaga tena na kweli hii ni wiki ya tatu tetea wote wanatetea na mmoja kaanza kutaga.
TATIZO:
vifaranga baada ya kuhangaika nao kwa wiki tatu ni vifaranga 3 tu ndo walikufa na waliobaki wanaendelea vizur japo vifaranga 6 wametoka manyoa yamebaki machache sana ya kwenye mbawa na mkia, JE HILI NI TATIZO GANI NA NINI UTATUZI WAKE!?.
Mkuu; Hongera ila jiridhishe kwamba hakuna utitiri (mange mites), chakula chao kina madini na Vitamini (Minarals and Vitamins) ya kutosha. Ukiridhika hayo basi wapo katika hatua ya ukuaji na wanatoa yale manyoa-pamba ya utotoni (moulting) na kuota manyoya halisi ya kuku. Usitishike, tulia kama mchangiaji wa hapo juu alivyokushauri.
 
Mkuu; Hongera ila jiridhishe kwamba hakuna utitiri (mange mites), chakula chao kina madini na Vitamini (Minarals and Vitamins) ya kutosha. Ukiridhika hayo basi wapo katika hatua ya ukuaji na wanatoa yale manyoa-pamba ya utotoni (moulting) na kuota manyoya halisi ya kuku. Usitishike, tulia kama mchangiaji wa hapo juu alivyokushauri.
Nashukur sana kaka ngoja niendelee kuwasubir nione mabadiriko baadae.
Kuhusu chakula wanapata chakula sahihi pia nawapa nafasi ya kuzurura ndan fensi na kupata chakula cha ziada hivyo sina shaka na chakula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom