Given Edward JF-Expert Member Jan 11, 2011 850 202 Oct 22, 2011 #21 Ni sawa na kuuliza mimba na mtoto nani katangulia.
mashikolomageni JF-Expert Member Jan 5, 2010 1,570 187 Oct 22, 2011 #22 wewe mwenyewe umeanza na neno kuku kwenye swali lako ndio jibu
Azimio Jipya JF-Expert Member Nov 27, 2007 3,362 1,131 Oct 23, 2011 #24 BUMIJA said: Jamani wadau mnadhani yai na kuku kipi kilitangulia Click to expand... ... Ni wewe Bumija ... Bila wewe kuwepo ... hilo swali lingetoka wapi ...!! how do you like that SIR?
BUMIJA said: Jamani wadau mnadhani yai na kuku kipi kilitangulia Click to expand... ... Ni wewe Bumija ... Bila wewe kuwepo ... hilo swali lingetoka wapi ...!! how do you like that SIR?
B BUMBU Member Jun 21, 2011 19 5 Oct 23, 2011 #25 Kufuatana na biblia kwenye uumbaji mungu hakuumba mayai bali ndege ambao na kuku alikuwepo.hivyo kuku ndiye aliye tangulia
Kufuatana na biblia kwenye uumbaji mungu hakuumba mayai bali ndege ambao na kuku alikuwepo.hivyo kuku ndiye aliye tangulia