Kuku mgeni hakosi kamba mguuni

mseminari mdogo

JF-Expert Member
Aug 18, 2011
228
146
Habari wana jamvi.
Nipo nanyi jamvini kuweza shiriki nanyi Kubadilishana mawazo. Hii ni Mara yangu ya kwanza kuwemo humu. Hope tutashirikiana
 
Asanteni wanaodhani ni muhimu watu wengine waingie ili tujuzane ya maana.
Huwezi kusonga mbele kama watu ni wale
mfumo ni ule ule
kufikiri ni kule kule
kutenda ni kule kule
Lakini hata namna ya ya kuwajibisha ni vile vile

Nadhani fikra mpya ni muhimu pia.
 
Asanteni wanaodhani ni muhimu watu wengine waingie ili tujuzane ya maana.
Huwezi kusonga mbele kama watu ni wale
mfumo ni ule ule
kufikiri ni kule kule
kutenda ni kule kule
Lakini hata namna ya ya kuwajibisha ni vile vile

Nadhani fikra mpya ni muhimu pia.

umenena
 
1453058332557.jpg
Karibu kuku Jogoo yupo kukupokea
 
Back
Top Bottom