Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,629
- 46,105
Unaweza kumnunua laki moja?
Kipi kitakushawishi umnunue laki moja.
Duuuuuuh umetisha mkuuMkuu hawa kuku aina ya Kuchi na wengine wanaitwa Java aseel ambao wanapatikana sana India na Pakistan
Huwa wanatumika kwa kupiganiswa kama kamari na watu hupata hela kwa kazi hiyo
Wengi wanaobahatika kupata pure breed huwa wanapeleka Zanzibar na kuwauza huko
Anaewajua vizuri na kupata pure anaweza kulipia mpaka laki 4 na kwenda kuwauza kwa 1m (nina ushuhuda)
Hawa kuku ni vita tu hawajui kitu kingine maana hata Afghan wapo sijui ni risasi zile
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kidogo umenipa sababu yenye mashiko.Mkuu hawa kuku aina ya Kuchi na wengine wanaitwa Java aseel ambao wanapatikana sana India na Pakistan
Huwa wanatumika kwa kupiganiswa kama kamari na watu hupata hela kwa kazi hiyo
Wengi wanaobahatika kupata pure breed huwa wanapeleka Zanzibar na kuwauza huko
Anaewajua vizuri na kupata pure anaweza kulipia mpaka laki 4 na kwenda kuwauza kwa 1m (nina ushuhuda)
Hawa kuku ni vita tu hawajui kitu kingine maana hata Afghan wapo sijui ni risasi zile
Sent from my iPhone using Tapatalk
Umaweza kununua mayai vinza au ya kawaida yai la kuchi ni kama la kuku wengine tu kubali gharama kama unauhakika na hicho kitu hata huku yai wanauza ten 1Angetaka isiwe ghali heri anunue mayai yai la kuchi elfu 10 anatotolesha hata 5 anafuga wakikua watazaliana
Nimepita mkuuHapana, mimi si mfugaji nilikuwa naweka tu rekodi sawa kwamba ni Kuku wa kigeni.
Ila kuna Wadau naona wanatambulisha aina mbalimbali za Kuku nadhani na hao watakuwa nao.
Hebu pitia huku:-
MFAHAMU KUKU AINA YA KUCHI
Ni kuku warefu kwa umbo na wenye kusimama mgongo ukiwa wima. Wana manyoya machache mwilinini na hasa kifuani, vilemba vyao ni vidogo. Ma...kilimoboratz2.blogspot.com
Ni kweli ""Chupayamaji"" nishashuhudia hicho kitu ntakuja na clip yamapigano uone anavyouwaHao huwa wanapiga mateke kama Vandame.Wakipigana na hawa jogoo wetu wa kiswahili huwa wanauwa kabisa kama hujamuokoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kidogo umenipa sababu yenye mashiko.
Lakini kama ingekuwa ni kwa matumizi kama ya kuku wengine ingekuwa upuuzi sana.
Mkuu ungekua unaishi dom ningekuunganisha na jamaa yang angekupa bure kwa mbeguHabari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana kuhusu kuku wa kienyeji aina ya kuchi. Nimefanikiwa kuwapata kuku hawa, kwa wale wenye uzoefu na kuku hawa naomba mnisaidie je ni wenyewe kweli au nimepigwa?
View attachment 1303893
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana unaweza niunganisha hata kwa mawasiliano mkuu nipo deep sana na hawa kukuMkuu ungekua unaishi dom ningekuunganisha na jamaa yang angekupa bure kwa mbegu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yangu kauza 500,000/=Hao kuku ni wenyewe, wazuri, naweza kusema haujapigwa (ila inategemea na bei uliotoa).
Bei zao hua kuanzia 100,000/= mpaka 300,000/=. Nliwahi kufuga kuchi zamani kidogo.
Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana kuhusu kuku wa kienyeji aina ya kuchi. Nimefanikiwa kuwapata kuku hawa, kwa wale wenye uzoefu na kuku hawa naomba mnisaidie je ni wenyewe kweli au nimepigwa?
View attachment 1303893
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa kuku kaka asili yake Mimi siijui kama ni njee au vip ila ninacho kifahamu ni sifa za kuku wenyewe. mfano wanakua na mdomo mfupi kama wa kasuku hawana viremba,hawana manyoya. Ila anaweza kuwa na sifa zote akawa ni fake. Kwa wafugaji na wanao wanunua wanawajua zaidi Mimi sina uzoefu nao ila nimewanunua kutokana na sifa nilizopewa. Asnte.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh wap huko tukauzee watafutwe tukauzeJamaa yangu kauza 500,000/=
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Nashukuru sana mkuuHawa kama sijakosea wanatokea zimbabwe kwa hapa bongo wako shinyanga tabora na zanzibar
Asante sana EvilSpirit mmetisha sana nimekua na amani sasaNdio mwenyewe huyo kakaa kama bito mgongo wa chura
Hao mbona wanajulikana muundo wao mkuu