kuku anayeuzwa Tsh 700,000 bei kubwa kuliko ng'ombe

kuku anayeuzwa Tsh 700,000 bei kubwa kuliko ng'ombe

Huyo anayeojiwa mwehu
Ngombe wa 700000. Atakuwa ngombe mwenye Afya kweli?, ngombe aliyeshiba ni 3,000,000 - 3,500,000 nk

Ila ambao sio wafugaji huwa wanashangaa bei ya vitu
 
Huyo anayeojiwa mwehu
Ngombe wa 700000. Atakuwa ngombe mwenye Afya, ngombe aliyesh8ba ni 3,000,000 - 3,500,000 nk

Ila ambao sio wafugaji huwa wanashangaa bei ya vitu
Upo sahihi sema bei ya ng'ombe inatofautiana mkoa mmoja na mwingine inategemeana wa laki saba yeye anasema wapi na wewe wa 3m anapatikana wapi bei ya ng'ombe haieleweki..
 
Upo sahihi sema bei ya ng'ombe inatofautiana mkoa mmoja na mwingine inategemeana wa laki saba yeye anasema wapi na wewe wa 3m anapatikana wapi bei ya ng'ombe haieleweki..
Brahma Og bongo wapo kweli ?
Screenshot_20250811_214726_Google.jpg
 
Back
Top Bottom