Mkuu nime agiza F1 kuna kampuni moja ambayo inadili na kuagiza fertilized eggs na vifaranga kutoka nje ndo wameniagizia, na kuna moja naisubilia kutoka South Africa ni breed ambayo inataga mayai kama mvua.
Hao wa Uganda niliwaona ila sio wanechakachuliwa hata krnya kuna janaa anao ila nao kwa kweli wameisha chakachuliwa.
Kuku wa mbegu inatakiwa wawe F1 so utakuta mfano hawa tunao waita wa malawi kwa sasa si ni F 20