Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Kama wewe ni mjuzi wa kuchambua ripoti ya utafiti utagugundua ''proportion'' ya wasomi wanaunga mkono CCM. By the way vipi ACT? mpo?CCM inapendwa na vilaza: Utafiti Twaweza
Kama wapiga rambi rambi wanavyopiga miayo kwa misiba mikubwa kuadimika siyo?!Kwa haraka haraka Chadema aka ukuta, walitegemea zaidi uwepo wa majanga ili kupata kiki kama tujuavyo ni wengi wao ni mabingwa kwenye misiba na sintofahamu.
Tunaomba Mwenyezi Mungu atuepushe na majanga katika nchi yetu. Kutokuwepo kwa majanga kwa hakika ndilo kaburi la Chadema.
Ukiwa makini hili utaliona bila ubishi,karibuni kwa hoja na si viroja.
naona thread zenu zinaendelea kushabiiana na utafiti wa TWAWEZA kadri siku ziendavyoKwa haraka haraka Chadema aka ukuta, walitegemea zaidi uwepo wa majanga ili kupata kiki kama tujuavyo ni wengi wao ni mabingwa kwenye misiba na sintofahamu.
Tunaomba Mwenyezi Mungu atuepushe na majanga katika nchi yetu. Kutokuwepo kwa majanga kwa hakika ndilo kaburi la Chadema.
Ukiwa makini hili utaliona bila ubishi,karibuni kwa hoja na si viroja.
Na lile Coaster lililouwa watoto kule Karatu? Mbunge Lema na Meya hadi leo wanalalamika kwa nini hawakutajwa na mkuu wa mkoa. Kuna ibada ilipangwa ifanyike KKKT Olasiti hivi ilifika wapi?Kwa haraka haraka Chadema aka ukuta, walitegemea zaidi uwepo wa majanga ili kupata kiki kama tujuavyo ni wengi wao ni mabingwa kwenye misiba na sintofahamu.
Tunaomba Mwenyezi Mungu atuepushe na majanga katika nchi yetu. Kutokuwepo kwa majanga kwa hakika ndilo kaburi la Chadema.
Ukiwa makini hili utaliona bila ubishi,karibuni kwa hoja na si viroja.
Kuna uzi mwingine hadi unajiuliza,hauna kichwa wala miguu.Kwa haraka haraka Chadema aka ukuta, walitegemea zaidi uwepo wa majanga ili kupata kiki kama tujuavyo ni wengi wao ni mabingwa kwenye misiba na sintofahamu.
Tunaomba Mwenyezi Mungu atuepushe na majanga katika nchi yetu. Kutokuwepo kwa majanga kwa hakika ndilo kaburi la Chadema.
Ukiwa makini hili utaliona bila ubishi,karibuni kwa hoja na si viroja.
Ni wasomi njaa wanatetea matumbo yao mkuuKama wewe ni mjuzi wa kuchambua ripoti ya utafiti utagugundua ''proportion'' ya wasomi wanaunga mkono CCM. By the way vipi ACT? mpo?
naona thread zenu zinaendelea kushabiiana na utafiti wa TWAWEZA kadri siku ziendavyo
Pole sana, nadhani umekaukiwa mawazo mapya. Kuruhusu akili kupumzika ni dawa njema itakayokusaidia kujitafskari.Kwa haraka haraka Chadema aka ukuta, walitegemea zaidi uwepo wa majanga ili kupata kiki kama tujuavyo ni wengi wao ni mabingwa kwenye misiba na sintofahamu.
Tunaomba Mwenyezi Mungu atuepushe na majanga katika nchi yetu. Kutokuwepo kwa majanga kwa hakika ndilo kaburi la Chadema.
Ukiwa makini hili utaliona bila ubishi,karibuni kwa hoja na si viroja.