Kukosa malezi ya baba kunanitesa sana.

Kukosa malezi ya baba kunanitesa sana.

Nakushukuru sana kwa ushauri wako mkuu.
Katika masiaha haya, kila mtu anayo story yake; ukweli kitendo cha kuzungumza kuhusu hao baba zako 2 binafsi nimekuchukulia very serious, is like umeizungumza aibu kubwa ya mama yako, hapa ni kweli unahitaji msaada but msaada wenyewe ki ukweli upo akilini mwako mwenyewe; vipo vitu katika Maisha vikiisha kutokea you can't change them, tatizo lako ni la kisaikolojia tu, nakuombea sana kwa Mungu upate mke mtakaye pendana nae cause ukipata mwanamke ambaye hakupata malezi mazuri ukweli utaumia Zaidi ya hapa but again watu wa namna yako huaga wababa wazuri sana kwa watoto wao. Dogo, fanya hivyo, that is history already, jitahidi kulisahau hilo tukio kwasababu halikua katika uwezo wako na hauna namna ya kulibadiri, baba yako kwasasa kaona UMRI unamtupa mkono so anatafuta namna ya kuelewana na wewe ili uzee wake usiwe wa shida tena.
Vipi, una mchumba au na wewe unachapa chapa nje? Angalia usije na wewe ukamtengenezea huzuni mtoto mwingine kama ulioipata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom