funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,036
Kinachokusumbua sasa hivi kitakwisha pindi utakapooa na kuanzisha familia yako. Mke wangu alilelewa bila baba na mama na alikuwa anajiita yatima ila tulipofunga ndoa alisahau yote na sasa yuko sawa tunalea familia na pia maisha yanaenda vizuru tunashukuru Mungu