Kukodisha Airbus ni mkataba wa kipuuzi - Mwakyembe

Kiukweli kwa jinsi Mzee Mwakyembe, Balozi Kagasheki na watendaji wanavyoanza kufunguka CDM waandae agenda nyingine haraka sana. Ama sivyo watajikuta wanaimba zilipendwa wakati wananchi wanageukia Zinapendwa!

Hatuna haja ya agenda nyingine mkuu, hawa watazimika sasa hivi, kama unabisha kamuulize Mama Tiba. Au umesahau Magufuli na bomoabomaa yake, ilibid andike barua ya kujiuzulu.
 
Mwakyembe hana proven record ya kutetea maslahi ya watanzania zaidi ya maslahi binafsi. Usiamini maneno ndugu subiri vitendo. Kagasheki ameshugulikia tukio hapo hapo, huyu Mwakyembe yuko busy na viporo vya David Mataka badala ya kutueleza future ya ATC itakuwaje. Katenga fedha ya ndege mpya kwenye bajeti? Ndio vitu vya kumuuliza. Katenga fedha za kupunguza wafanyakazi? Kama vyote hakuna kamwe hataweza kuligeuza hilo shirika. Biashara ya ndege ni tofauti na siasa

Ulukolokwitanga, inaonyesha una chuki binafsi na mwakyembe wakati ni home boy wako. Adui yako mwombee mema
 
Huyu mzee wa Ukurutu nimekuwa simwamini tokea aseme kwenye ile ripoti yake ya Richimond kuna mambo ambayo ameficha ili serikali isianguke inamaana alitusaliti sisi wananchi. halafu turudi kwenye mada yeye ni mtaalamu wa mikataba ya kukodisha ndege?
Hahaha vibaraka wa mafisadi tunawajua kirahisi sana! unatetea tumbo? safi sana Mwakyembe piga mzigo achana na hawa wanaodhani watanzania hatuna akili,wameiba mpaka wamevimbiwa! hawataki kuguswa maslahi ya matumbo yao. Sasa kama siyo mtaalamu wa kukodisha ndege kwahiyo watu wakifanya ujinga awaache halafu baadae uje na utumbo mwingine kwamba ameshindwa kazi ili waje wezi wanaojua sheria za kukodisha ndege unao wajua wewe? kwa hiyo kama kuna mambo hakusema ya richmond kwahiyo anyamaze kimya sasa? au ulitaka nini hasa?
 
kitendo cha mwakyembe kwenda redioni kuongelea mkataba wa kukodisha airbus miaka mitano iliyopita ni unafiki uliopitiliza. Mi nilidhani ataongelea mapungufu ya sasa ya shirika na kueleza namna ya utatuzi wake. Nawashauri watanzania mlio wavivu wa kufuatilia mambo muwe makini sana na watu wa aina hii, wanacheza na public opinions kwa maslahi binafsi na cheap popularity. Kwanza akina mataka si wana kesi mahakamani? Jamani shikeni maneno yangu huyu mwakyembe ni msanii, makosa ya miaka mitano iliyopita hayahalalishi kumpa nafasi binamu yake kuongoza shirika
ukitaka kupambana na chama tawal ccm nenda katika vyombo vya habari na kuweka mambo wazi.ndani ya vikao vyo ni kulindana hakuna mwenyenia nzuri kwa walalaho.wakianza kushina mashati tutajua pumba na mchele.
 
ni mkataba wa kipuuzi ambao haujawahi kutokea. Alonga mwakyembe .. Mpaka sasa hivi serikali inadaiwa 6.9 billion shillings..
Ndege imekodiwa tumeanza kuilipia ikiwa angani hata kabla haijatua

halafu mnataka zanzibar iwemo katika muungano

mtaibiana na kulana wenyewe hata ngoma haijaanza
 
Huyu mzee wa Ukurutu nimekuwa simwamini tokea aseme kwenye ile ripoti yake ya Richimond kuna mambo ambayo ameficha ili serikali isianguke inamaana alitusaliti sisi wananchi. halafu turudi kwenye mada yeye ni mtaalamu wa mikataba ya kukodisha ndege?

mambo aloyaficha mbona EL alishayasema kwa kikao cha chama huko dom! na isitoshe Mwakyembe ni dr. wa sheria kwa iyo mikataba siyo kitu kigeni kwake so jipange na upunguze dharau.
 
Huyu mzee wa Ukurutu nimekuwa simwamini tokea aseme kwenye ile ripoti yake ya Richimond kuna mambo ambayo ameficha ili serikali isianguke inamaana alitusaliti sisi wananchi. halafu turudi kwenye mada yeye ni mtaalamu wa mikataba ya kukodisha ndege?

Unajua naamini watu wangekupiga mawe ufe kama jf ingekuwa a face to face forum..umemwita mzee wa nini vile?sijui ni ulimbukeni tu au unahisi wewe utaishi milele??

Ha ha..au we ndo chizi mwenyewe..ha ha,either way,its time for you morons to leave the country to its people..the God of Israel shall see to it that you all meet your crucifixion for making people's lives difficult while your stomachs grow bigger and bigger..
 
Mkuu FJM hapa ndipo unatambua mtu mnafiki. Amejenga hoja hiyo kuhalalisha uhuni wake. Na kwasababu Watanzania hatuna kumbukumbu,wengi wetu tukanasa. Wengi wa maofisa waliosimamishwa hawahusiki na mikataba ya nyuma. Moja ya kichekesho niliposoma kwamba ameteuliwa rubani mzoefu kukaimu cheo cha CEO!
Huyu Chizi aliyewekwa pembeni anahusika vipi na mikataba ya Airbus?
 
he is a lawyer, advocate na lecturer wa sheria UDSM
mm mwanasheria pia kw ahivo tuna uwezo wa kudraft mikataba yote
ameongea kama mwanasheria na ana uzoefu pia. kuelewa mikataba ni mibovu ni rahisi sana

Huyu mzee wa Ukurutu nimekuwa simwamini tokea aseme kwenye ile ripoti yake ya Richimond kuna mambo ambayo ameficha ili serikali isianguke inamaana alitusaliti sisi wananchi. halafu turudi kwenye mada yeye ni mtaalamu wa mikataba ya kukodisha ndege?
 
Kiukweli kwa jinsi Mzee Mwakyembe, Balozi Kagasheki na watendaji wanavyoanza kufunguka CDM waandae agenda nyingine haraka sana. Ama sivyo watajikuta wanaimba zilipendwa wakati wananchi wanageukia Zinapendwa!
Nyamaza wewe gamba magufuli amekaa kwenye ujenzi miaka kibao lakini CDM wanalo la kusema kuhusu barabara tatizo ni la mkuu hiyo ni nguvu ya soda unafikiri hiyo mikataba ambayo imeshasainiwa itafutwa thubutu garama yake itaifilisi hii nchi Yule Waziri wa madini mwenyewe kasema mikataba ni mizito mno kwi! Kwi! Kwi! kifo cha ccm kipo pale pale
 
Huyu Mzee ali sacrifice mwili wake kwa kutokusema matokeo ya vipimo vya ugonjwa wake Kama ilikuwa sumu Kama six alivyokuwa anasema au ni ugonjwa tuu akaona akisema Atagombana na serikali aukose uwaziri lakini alikuwa anataka wananchi wamuonee huruma Pambaf zake acha aendelee kumomonyoka
 
Huyu mzee wa Ukurutu nimekuwa simwamini tokea aseme kwenye ile ripoti yake ya Richimond kuna mambo ambayo ameficha ili serikali isianguke inamaana alitusaliti sisi wananchi. halafu turudi kwenye mada yeye ni mtaalamu wa mikataba ya kukodisha ndege?

thisis not an argument from a great thinker !kubaini madudu kunahitaji uwe mtaalamu wa kihivyo kweli?KUTUMIKA KWINGINE KUNATUDHALILISHA.
 
ni kweli kabisaaa!songa mbele mwakyembe
Mh.Mwakyembe wewe piga kazi kwa nguvu zote,iga mfano wa mh.magufuli,maadam dhamira yako ni njema hata wapinge namna gani wewe utang'aa tuu! Maombi ya watanzania yanatafuta mtu kama wewe...Mungu anatafuta mtu atakayesimama sehemu iliyobomoka.... hao wanaokupinga ni mafisadi ama wanafaidika na mafisadi.
endelea mbele mkuu.
 
mwaka huu hakuna rangi watakosa kuiona wezi wa pesa chini ya wizara inayoongozwa na mwakyembe!chezea mwakyembe wewe!
 
Hakika we ni chizi kama huyu mwenzako swala la ccm sahau,..yani sahau hata mkimleta balalli na kumfunga, kitu kinachoweza kuwasaidia labda mumfufue. Mwalimu alafu awe mgombea urais kwa ccm.....jaribunu
Kiukweli kwa jinsi Mzee Mwakyembe, Balozi Kagasheki na watendaji wanavyoanza kufunguka CDM waandae agenda nyingine haraka sana. Ama sivyo watajikuta wanaimba zilipendwa wakati wananchi wanageukia Zinapendwa!
 
Kuna jamaa mmoja humu alikuwa anasema eti Mh.Mwakyembe ni mkabila, nafikiri majibu yake sasa atayapata....!

Kwani ukigundua kuna mkataba mbovu ndio warrant ya wewe kuteua mnyakyusa mwenzako, tena ndugu yako? Tuelezwe kwanza huyo Lusajo amepatikanaje na je, utaratibu wa utumishi umezingatiwa kumpata?
 
Kitendo cha Mwakyembe kwenda redioni kuongelea mkataba wa kukodisha Airbus miaka mitano iliyopita ni unafiki uliopitiliza. Mi nilidhani ataongelea mapungufu ya sasa ya shirika na kueleza namna ya utatuzi wake. Nawashauri watanzania mlio wavivu wa kufuatilia mambo muwe makini sana na watu wa aina hii, wanacheza na public opinions kwa maslahi binafsi na cheap popularity. Kwanza akina Mataka si wana kesi mahakamani? Jamani shikeni maneno yangu huyu Mwakyembe ni msanii, makosa ya miaka mitano iliyopita hayahalalishi kumpa nafasi binamu yake kuongoza shirika
..

Naomba nikusahihishe kidogo kwanza kabisa mwakyembe hakuenda redioni kama unavyosema pale ni JKIA terminal 2 na alikuwa akiongea na wafanyakazi wa ATCL hapo uwanjani..ulichosikia ni recorded sound ya tukio zima...
La pili Mwakyembe kamuondoa Chizi si kutokana na kashfa hizo tajwa hapo juu..kashfa hizi ni zile za waliotangulia Chizi kaondolewa kwa sababu uteuzi wake unakinzana na sheria yaani kwa ufupi Uteuzi wako haupo kisheria..
 
kuondolewa kwa chizi ni kutokana na mikataba mibovu, ajira yake haikufata taratibu au kushindwa kusimamia shirika?

hivi mnamwamini mwakyembe??
 
..

Naomba nikusahihishe kidogo kwanza kabisa mwakyembe hakuenda redioni kama unavyosema pale ni JKIA terminal 2 na alikuwa akiongea na wafanyakazi wa ATCL hapo uwanjani..ulichosikia ni recorded sound ya tukio zima...
La pili Mwakyembe kamuondoa Chizi si kutokana na kashfa hizo tajwa hapo juu..kashfa hizi ni zile za waliotangulia Chizi kaondolewa kwa sababu uteuzi wake unakinzana na sheria yaani kwa ufupi Uteuzi wako haupo kisheria..

hivi unajua kwa nini hawa mawaziri wapya wanafumua bodoza wakurugenzi na kusimamisha wa ma CEO kwa kasi namna hii......
 
Back
Top Bottom