Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,504
- 8,253
Imefahamiki viongozi wa mataifa ya G-20 hawajakasirika kwa kitendo cha rais wa Russia bwana Vladimir Putin kuvunja protocal kwa kuondoka kabla ya muda unaotakiwa katika mkutano wa viongozi hao uliomalizika huko australia, bali viongozi hao wanamlaumu waziri mkuu wa Australia bwana Tony Abbott kwa kusababisha hali hiyo.
Ikumbukwe hapo mapema kabisa bwana Abbott aliweka wazi kabisa kwamba akikutana na putin kwenye 18 zake lazima ampe kipondo, tangu Tonny atoe kauli hiyo mara ya kwanza wamekutana china lakini hakutekereza kauli yake, nadhani ilikuwa nje ya 18, na mara ya pili ndo wamekuta huko Australia ndani ya 18 zake ndipo ndipo alipotaka kutekeleza kusudio lake lakini jitahada kubwa za kumshawishi aachane na hilo suala zilifanyika zikiongozwa na Obama na rais Xi zilifanikiwa kiasi ingawa kwa muda tu ambapo PM Tonny aliamua kumuacha Rais Putin afanye kwa shughuli zake zilizopeleka huko ambao ni mkutano wa G-20 baada ya hapo kichapo kipo palepale.
Pamoja na jitihada za Putin mwenyewe na kumtegemea Rais wa China kusawazisha mambo lakini Rais wa China hakuonekana kujali sana sababu wachina pia walikuwemo kwenye ndege aliyoidungia putin huku PM Tonny akiendelea kusisitiza kipondo kiko palepale.
Hapo ndipo Rais Putin alipoamua kuchoropoka kabla ya muda ili kuepuka kisago.
Sasa kila kiongozi anamlaumu Tonny kwa kukosa busara katika kuamua mambo.
Ikumbukwe hapo mapema kabisa bwana Abbott aliweka wazi kabisa kwamba akikutana na putin kwenye 18 zake lazima ampe kipondo, tangu Tonny atoe kauli hiyo mara ya kwanza wamekutana china lakini hakutekereza kauli yake, nadhani ilikuwa nje ya 18, na mara ya pili ndo wamekuta huko Australia ndani ya 18 zake ndipo ndipo alipotaka kutekeleza kusudio lake lakini jitahada kubwa za kumshawishi aachane na hilo suala zilifanyika zikiongozwa na Obama na rais Xi zilifanikiwa kiasi ingawa kwa muda tu ambapo PM Tonny aliamua kumuacha Rais Putin afanye kwa shughuli zake zilizopeleka huko ambao ni mkutano wa G-20 baada ya hapo kichapo kipo palepale.
Pamoja na jitihada za Putin mwenyewe na kumtegemea Rais wa China kusawazisha mambo lakini Rais wa China hakuonekana kujali sana sababu wachina pia walikuwemo kwenye ndege aliyoidungia putin huku PM Tonny akiendelea kusisitiza kipondo kiko palepale.
Hapo ndipo Rais Putin alipoamua kuchoropoka kabla ya muda ili kuepuka kisago.
Sasa kila kiongozi anamlaumu Tonny kwa kukosa busara katika kuamua mambo.