jashmoe32
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 1,098
- 437
Ukiwa unaoga uswahilini na akapita chizi na akakwapua taulo lako na kuanza kukimbia nalo,pindi ukitoka na kuanza kumkimbiza then watu watakucount na wewe ni chizi so better tumuache chizi aendelee na uchizi wake.
Hivi mod watoto mbona wanaingia wengi JF bila kufata maadili?Naomba liwekwe jukwaa la watoto ili liwe special kwa mtoto kama huyu alieleta mada
Hivi mod watoto mbona wanaingia wengi JF bila kufata maadili?Naomba liwekwe jukwaa la watoto ili liwe special kwa mtoto kama huyu alieleta mada