Kurutamjanja
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 396
- 374
Wadau Hii Inchi ilipofikia Haki ya mungu kama Hatuna Uongozi kabisa. Hii imetokea mm Mwenyewe nikiwa Wodini nimelazwa katika Hospital ya mkoa Wa Arusha Mount Meru haki ya mungu umeme umekatika tangu Saa tano Usiku hadi Asubuhi. Aisee hii ni Hatari sana. Nimeshindwa kuelewa je Hakuna Generator au ni uzembe na uuaji tu. Tukio hili limetokea Trh 29 Jun 15. Sasa kama mtu anatumi mashine ya kupimulia si ndio amekufa hapo. Hatari sana Nchi hii.