Kwenye Nchi za Kigeni suala la Umeme kukatika halipo na likitokea ni kwa muda mchache sana

twende wote

Member
Mar 29, 2021
50
84
Moja kwa moja kwenye mada, bahati nzuri nimepata bahati ya kuishi nchi za kigeni, suala la kukatika umeme, ni suala halipo, labda,labda ikitokea ni sekunde. Nayo sikuwahi shuhudia when in Canada

Hoja yangu, jumapili umeme umekatika siku nzima maeneo ya Kanda ya ziwa, nilikuwa hoteli flani wanalalamika gharama za kuwasha generator. Jumatatu TR 04/10 umeme haununuliki

Leo TR 05/10/2021 umeme umekatwa asubuhi hii, Nini tatizo?? Au unahujumiwa?? Au ni maslahi binafsi??
Haya mambo watanzania walikwisha sahau, hebu watendeeni haki
Kama iko shida wapeni taarifa, ni kero na karaha,
 
Moja kwa moja kwenye mada, bahati nzuri nimepata bahati ya kuishi nchi za kigeni, suala la kukatika umeme, ni suala halipo, labda,labda ikitokea ni sekunde. Nayo sikuwahi shuhudia when in Canada,
Hoja yangu, jumapili umeme umekatika siku nzima maeneo ya Kanda ya ziwa, nilikuwa hoteli flani wanalalamika gharama za kuwasha generator, jumatatu TR 04/10 pia umeme haununuliki,Leo TR 05/10/2021 umeme umekatwa asubuhi hii, Nini tatizo?? Au unahujumiwa?? Au ni maslahi binafsi??
Haya mambo watanzania walikwisha sahau,hebu watendeeni haki, Kama iko shida wapeni taarifa, ni kero na karaha,

8C5F7146-AA46-47C6-A248-91BA3BCCFBCB.jpeg
 
Makamba amekuja na bodi yake ya mabishoo walidhani Tanesco kuna viingereza, pale ni full undugunisation plus uvivu.

Dawa ya yote ni kuivunja TANESCO na kuunda mashirika mawili; moja la kuzalisha umeme, jingine la kuuza umeme. Hapo kila moja litawajibika sio hii ya sasa wanazalisha na kuuza kwa end user wao wenyewe hii Monopoly imewafamya wabweteke.

Advantage ya kuwa na mashirika mawili out of TANESCO ni kwamba; Muuzaji wa umeme akiona Tanesco wanazingua anaweza kununua kwa vendor wengine ambao nao ni independent.
 
Tunapaswa kujua mfumo unaotumika kwa wenzetu ambao habari za kukatika umeme walishasahau.
 
Moja kwa moja kwenye mada, bahati nzuri nimepata bahati ya kuishi nchi za kigeni, suala la kukatika umeme, ni suala halipo, labda,labda ikitokea ni sekunde. Nayo sikuwahi shuhudia when in Canada,
Hoja yangu, jumapili umeme umekatika siku nzima maeneo ya Kanda ya ziwa, nilikuwa hoteli flani wanalalamika gharama za kuwasha generator, jumatatu TR 04/10 pia umeme haununuliki,Leo TR 05/10/2021 umeme umekatwa asubuhi hii, Nini tatizo?? Au unahujumiwa?? Au ni maslahi binafsi??
Haya mambo watanzania walikwisha sahau,hebu watendeeni haki, Kama iko shida wapeni taarifa, ni kero na karaha,
Hahujumiwi..bali yeye kaondo technical team yote unatarajia nini.?
 
Mainjinia huwa hawapendi "zarau" , alikuja kwa pupa sana acha watunishiane misuli
 
Mambo ya Umeme nchi hii nishakata tamaa, kama simu nishapiga sana ila majibu yao ni mepesi mno bila kujua tunaingia gharama kwenye shughuli zetu.
 
Hii ni kawaida kwa nchi za kienyeji.
Tushazoea labda huko nchi za kigeni ndio tatizo.
 
Back
Top Bottom