Kukatika tena daraja la Kiyegeya: Rais Magufuli afika Morogoro, awasimamisha kazi wahandisi 12. Awapa onyo la mwisho Mfugale, Kamwelwe

Lakini yeye ndio arikua waziti kipindi chau ujenzi

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Wakuu,

Nipo nasikiliza hapa redio na imehabarisha kwamba kutokana na daraja la Kiyegeya linalounganisha kati ya Morogoro na Dodoma kusombwa tena na maji, mzee baba kaamua kwenda mwenyewe kujua mbivu na mbichi. Amenukuliwa akisema kwamba kwa wahusika wote wajihesabu hawana kazi na ameitaka TANROADS kuhakikisha hakuna barabara inayounganisha kati ya mkoa na mkoa,mji na mji ikisombwa na maji kwa namna yoyote.

Nitaendelea kusasisha kutokana na taarifa ninavyozipata.

Pia soma
Daraja linalounganisha Dodoma na Morogoro limevunjika, hakuna mawasiliano ya barabara
Kubomoka kwa daraja la Kiyegeya: Meneja Tanroads Morogoro arudishwa Wizarani
Mawasiliano kati ya Dodoma na Morogoro yamekatika tena

Kwani hayo madaraja yalijengwa kipindi gani? Tumtafute mchawi. Kama na yeye hata logeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajilikisha tu kazi ya kufanya hata mbunge au katibu wq wizara anaenda rais au hawaamini watu wake waliowateua mwenyewe!?? Hii move niya kihindi sjui itaishaje stealing atauwa au vipi
 
  • Thanks
Reactions: rr3
Kikwete utabeba lawama na laana zote kwa kutuletea maafa. You were a weak president indeed!
Kikwete Kaleta Mvua nyingi?Kama ni kufukuzana kwasababu ya kukatika madaraja basi wasiishie kiyegeya hii nchi sehemu nyingi tu madaraja yanaenda na maji Ba sababu ni mvua za mwaka huu zimezidi.
Watanzania hasa tunaoitwa wanyonge tunachukiana kupitiliza.Naona wanyonge wanafurahi wenzao kufukuzwa kazi,wakati mwingine pressure za Za hawahawa wanasiasa zinapelekea wataalumu kufanya kazi pasipo kufuata misingi ya taaluma zao.
Unapewa kazi Huku unaamrishwa kazi iishe Ndani ya muda ambao kimsingi haiwezekani,mwisho wa siku unatimuliwa.
 
Huu mfumo wa uongozi siyo mzuri, yaani ili kila kitu kifanyike ni lazima Rais ndiyo ashughulike!! Viongozi wahusika hawana nguvu, hawasikilizwi au hawana uwezo hii ni ajabu

Mbona PM alienda imeshindikana au, Rais atashughulikia mangapi nchi hii yote kama kila kitu ni lazima aseme

Huu mfumo ni vyema urekebishwe kila kiongozi atimize wajibu wake kikamilifu na hatua zichukuliwe kukiwa na uzembe

Kwa ufupi mfumo wa kuendesha nchi umefubaa. Kila kitu hata majukumu ya kawaida wataalamu, wasimamizi, wakurugenzi na watendaji wote wanashindwa kutekeleza au kutenda mpaka wasubiri Rais atasema au kuelekeza nini.
 
Aisee rais wangu ,jumping the gun. Tusubiri ripoti kabla ya kutoa hukumu.Mungu hofu.
 
Huu mfumo wa uongozi siyo mzuri, yaani ili kila kitu kifanyike ni lazima Rais ndiyo ashughulike!! Viongozi wahusika hawana nguvu, hawasikilizwi au hawana uwezo hii ni ajabu

Mbona PM alienda imeshindikana au, Rais atashughulikia mangapi nchi hii yote kama kila kitu ni lazima aseme

Huu mfumo ni vyema urekebishwe kila kiongozi atimize wajibu wake kikamilifu na hatua zichukuliwe kukiwa na uzembe
Mi ninachoona hapo tatizo ni MFUGALE kwakuwa anateuliwa na mh Rais ndo maana mzee baba kaamua kwenda kumaliza mwenyewe!
Mfugale alitakiwa atii maagizo ya PM majariwa kumtoa yule eng wa mkoa tanroad.
Kitendo cha kumdharau PM majaliwa tulihisi ni baraka za mzee baba kutotekereza amri hyo. Sasa mzee baba kaamua kwenda kumthibitishia mfugare kuwa sauti ya PM ni serikari na sauti ya Waziri ni serikari! Mimi naona kutakuwa nakikao kizito kimefanyika baina ya waziri na pm akiwepo mzee Baba.

Tutege masikio.
 
Hiyo barabara inatakiwa wai design na kujengwa upya pamoja na madaraja yake, barabara nyingi bongo zitakuwa zimejengwa chini ya kiwango. Kwa ambao tumewahi kushuhudia barabara za lami kule ulaya watakuwa wananielewa naongea nini hapa. Yaani lami inatengeneza mashimo ndani ya miaka 5!?
 
Sasa tuone kama kweli Mfugale na Kamwele wata tumbuliwa maana Magufuli amewalea Sana Hawa 2 mpaka huyo Mfugale kupewa heshima ya flaiova ya 'mfugale"....!

March 16, 2020
Morogoro, Tanzania

Waziri Isack Kamwelwe, Mtendaji Mkuu TANROAD Mfugale wapewa onyo huku mainjinia 12 wakisimamishwa kazi



Source: ITV Tanzania
 
Back
Top Bottom