Kukatika ovyo kwa Umeme VS Adani

Kukatika ovyo kwa Umeme VS Adani

Hii ndio dalili ya kupewa wao. Cjui ni kipi tutakuja kuweza wenyewe. Pia magogoni kuna Dalali pale.
All the best
 
Bado wako kwenye mazungumzo na hali hii ya kukatikatika umeme utaambiwa tunahitaji mwekezaji. Kama walivyoivuruga BRT
Wamesema mwekezaji ameshapatikana na amekubali kuingia mkataba na TANESCO kwa sharti la ubia.

PPP iko on fire chini ya commissioner David Kafulila
 
Sasa inakuwaje fursa kama hizi za kuunda ajira kwa wazawa tuwaite watu wa nje waje kutufanyia kazi? Sielewi asee.
Hakuna makampuni ya tanzania yanayoweza.

Unakuta mradi ni wa mamilioni mengi ya dola au mabilioni, na wanahitajika wahandisi wabobevu, inakuwa ngumu.

Waturuki na wachina ndo wanawekeza sana huku.
 
Tangu tuanze kusikia habari za Adani kutaka kupewa tender na serikali umeme umeanza kukatika katika hovyo. Kabla ya kuanza habari za hawa Adani umeme ulikuwa haukatiki hovyo. Ila hivi karibu si ajabu kuona umeme umekatika kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa saba usiku.

Je, ndio mmeanza hujuma zenu ili ku justify kuwapa hawa wahindi tenda ili mpige cha juu? Hivi hamridhiki na mlizopiga hadi sasa hivi tokea tupate uhuru? Enyi CCM ioneeni huruma nchi yenu nakizazi kijacho, duniani tu apita tu vyote tutaviacha hapa hapa.

Polepole alisema ili tuendelee inabidi tufundishane adabu ,nami namuunga mkono hii nchi inabidi tufundishane adabu ili huu ujinga uishe ,tufanye kama China au Singapore mtu akifanya ujinga analiwa kichwa tu....yaani ukigundua kama mtu anakata umeme kusudi ili wapitishe tenda kwa ADANi ni kumpiga kitanzi tu .tukifanya hivyo kwa watu wawili au watatu nchi itanyooka.
 
Polepole alisema ili tuendelee inabidi tufundishane adabu ,nami namuunga mkono hii nchi inabidi tufundishane adabu ili huu ujinga uishe ,tufanye kama China au Singapore mtu akifanya ujinga analiwa kichwa tu....yaani ukigundua kama mtu akata umeme kusudi ili wapitishe tena kwa ADANi ni kumpiga kitanzi tu .tukifanya hivyo kwa watu wawili au watatu nchi itanyooka.
Nani atamfunga paka kengele?
 
Tangu tuanze kusikia habari za Adani kutaka kupewa tender na serikali umeme umeanza kukatika katika hovyo. Kabla ya kuanza habari za hawa Adani umeme ulikuwa haukatiki hovyo. Ila hivi karibu si ajabu kuona umeme umekatika kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa saba usiku.

Je, ndio mmeanza hujuma zenu ili ku justify kuwapa hawa wahindi tenda ili mpige cha juu? Hivi hamridhiki na mlizopiga hadi sasa hivi tokea tupate uhuru? Enyi CCM ioneeni huruma nchi yenu nakizazi kijacho, duniani tu apita tu vyote tutaviacha hapa hapa.
Katika ripoti ya kurasa 106 iliyotolewa mnamo Januari 25, 2023, Hindenburg ilishutumu Kundi la Adani la Gautam Adani kwa "udanganyifu wa hisa na mpango wa udanganyifu wa uhasibu katika kipindi cha miongo kadhaa". Ripoti hiyo ilichapishwa kabla ya ofa ya kufuata ya umma ya Rupia 20,000-crore (FPO) ya Adani Enterprises Ltd.13 Ago 2024.
 
Hapana aisee, kuna ukomo flani wa teknolojia uliopo kwenye nchi maskini.
Hawa Wahindi tuliwahi kuwapa TRC ikawa TRL tukitegemea mabadiliko ya teknolojia lakini kilichotokea kila mtu anajua. Walichukua treni bora wakapeleka kwao,hapa wakaleta takataka zao. Ajabu sasa hivi sisi wenyewe tumeweza kuiinua TRC hadi kuwa na treni bora za kisasa.
Kuna wajuzi wataamua kuwapa tena hawa wahindi hata hii SGR.
Wahindi hawa kwao wana mgao mkali sana wa umeme kwanini wasianzie kwao huko kurekebisha umeme. Ni kama kuwapa TRC wakati kwao treni zinapakia watu hadi darini.
 
Wamesema mwekezaji ameshapatikana na amekubali kuingia mkataba na TANESCO kwa sharti la ubia.

PPP iko on fire chini ya commissioner David Kafulila
Mkuu....
Kwa Adani Group yenye hisa zilishuka hadi 2% katika biashara mapema siku ya Ijumaa baada ya Utafiti wa Hindenburg kudai kuwa mamlaka ya Uswizi ilizuia zaidi ya $310 milioni katika akaunti kadhaa za benki za Uswizi. Ambapo fedha hizi zinaripotiwa kuhusishwa na madai ya utakatishaji fedha na kughushi dhamana zinazohusisha Adani Group mnamo tarehe 13 Sept 2024...😐
 
Hawa Wahindi tuliwahi kuwapa TRC ikawa TRL tukitegemea mabadiliko ya teknolojia lakini kilichotokea kila mtu anajua. Walichukua treni bora wakapeleka kwao,hapa wakaleta takataka zao. Ajabu sasa hivi sisi wenyewe tumeweza kuiinua TRC hadi kuwa na treni bora za kisasa.
Kuna wajuzi wataamua kuwapa tena hawa wahindi hata hii SGR.
Wahindi hawa kwao wana mgao mkali sana wa umeme kwanini wasianzie kwao huko kurekebisha umeme. Ni kama kuwapa TRC wakati kwao treni zinapakia watu hadi darini.
2023 March 3, Ripoti ya Hindenburg ilishutumu Adani Group kwa kujihusisha na upotoshaji mkubwa wa bei ya hisa, kuzidisha thamani ya mali zao kwa uwongo, na kudhibiti zaidi ya 75% ya hisa zao kupitia mashirika tofauti ya nje ya pwani yanayodhibitiwa na Kundi.
Hii nchi yetu imekua kichwa cha wenda wazimu hata tunakaribisha makampuni ya upigaji na matapeli wa kimataifa kuja kuzidi kutu nyonya mazee...🤨
 
2023 March 3, Ripoti ya Hindenburg ilishutumu Adani Group kwa kujihusisha na upotoshaji mkubwa wa bei ya hisa, kuzidisha thamani ya mali zao kwa uwongo, na kudhibiti zaidi ya 75% ya hisa zao kupitia mashirika tofauti ya nje ya pwani yanayodhibitiwa na Kundi.
Hii nchi yetu imekua kichwa cha wenda wazimu hata tunakaribisha makampuni ya upigaji na matapeli wa kimataifa kuja kuzidi kutu nyonya mazee...🤨
Kipaumbele ni 10%
 
Wakuu King Kong III Ushimen na RRONDO mmechangia kwa uchungu sana jinsi Taifa linavyoliwa na Mchwa/Viongozi matapeli wenye baraka za Kimamlaka. Hakika Machozi yenu juu ya huu wizi na utapeli ipo siku yatalipwa. Nchi imegeuka kuwa kuwa zaidi ya Shamba la Bibi hadi unaona aibu unajitafakari kwamba Mimi ni Mtanzania.
Tunahitaji mabadiliko makubwa sana.
 
Tangu tuanze kusikia habari za Adani kutaka kupewa tender na serikali umeme umeanza kukatika katika hovyo. Kabla ya kuanza habari za hawa Adani umeme ulikuwa haukatiki hovyo. Ila hivi karibu si ajabu kuona umeme umekatika kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa saba usiku.

Je, ndio mmeanza hujuma zenu ili ku justify kuwapa hawa wahindi tenda ili mpige cha juu? Hivi hamridhiki na mlizopiga hadi sasa hivi tokea tupate uhuru? Enyi CCM ioneeni huruma nchi yenu nakizazi kijacho, duniani tu apita tu vyote tutaviacha hapa hapa.

Pia soma
- David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia
ADANI huyo huyo mwenye aliye pewa TICS?
 
ADANI huyo huyo mwenye aliye pewa TICS?
Ndio mkuu....
Ndio mkuu, hiyo Adani Group ndio ilipewa kibali cha miaka 30 mwezi Mei kuendesha kituo kikuu cha kontena katika bandari ya Dar es Salaam...😑
 
 
Back
Top Bottom