RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,817
- 129,693
Tangu tuanze kusikia habari za Adani kutaka kupewa tender na serikali umeme umeanza kukatika katika hovyo. Kabla ya kuanza habari za hawa Adani umeme ulikuwa haukatiki hovyo. Ila hivi karibu si ajabu kuona umeme umekatika kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa saba usiku.
Je, ndio mmeanza hujuma zenu ili ku justify kuwapa hawa wahindi tenda ili mpige cha juu? Hivi hamridhiki na mlizopiga hadi sasa hivi tokea tupate uhuru? Enyi CCM ioneeni huruma nchi yenu nakizazi kijacho, duniani tu apita tu vyote tutaviacha hapa hapa.
Pia soma
- David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia
Je, ndio mmeanza hujuma zenu ili ku justify kuwapa hawa wahindi tenda ili mpige cha juu? Hivi hamridhiki na mlizopiga hadi sasa hivi tokea tupate uhuru? Enyi CCM ioneeni huruma nchi yenu nakizazi kijacho, duniani tu apita tu vyote tutaviacha hapa hapa.
Pia soma
- David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia