A
Anonymous
Guest
Kuna Changamoto Ambayo Tunaipata Sisi Wahitimu wa Degree Ya Microfinance And Enterprises Development tunakuwa Auto Rejected kwenye Ajira Portal Wakati hata sisi kweye Core za Masomo yote tunatambulika kama watu wa Fedha(Finance).
Pia hata kwenye vigezo vya Ajira kabisa hata sisi tumo ila tunakua Auto Rejected Tushaongea sana tumeshilikisha Mpaka chuo ila Limekua tatzo sugu Vijana tunahangaika hatuna Ajira, Na mfumo ambao tunautegemea nao unatukataa hata kwa ajira Finance nk kama zinazohusiana na kozi yetu kwenye Ajira.
Tunaiyomba Utumishi Ifanyie kazi maaana Tunakosa fursa za Serikalini kama kozi nyingine wavyopata.
Asante
Pia hata kwenye vigezo vya Ajira kabisa hata sisi tumo ila tunakua Auto Rejected Tushaongea sana tumeshilikisha Mpaka chuo ila Limekua tatzo sugu Vijana tunahangaika hatuna Ajira, Na mfumo ambao tunautegemea nao unatukataa hata kwa ajira Finance nk kama zinazohusiana na kozi yetu kwenye Ajira.
Tunaiyomba Utumishi Ifanyie kazi maaana Tunakosa fursa za Serikalini kama kozi nyingine wavyopata.
Asante