Kukata rufaa nje ya muda sheria inasemaje?

mukama talemwa

Senior Member
Jun 14, 2011
160
28
Jamaa yangu ameshinda kesi CMA baada ya mwezi mmoja kupita bila mwajiri kusema lolote akaamua kukazia hukumu ambapo Mahakama kuu ikatoa order kwa mwajiri ikimtaka kutekeleza maamuzi ya CMA jamaa yangu alipopeleka order ndani ya week moja mwajiri akampatia copy ya appeal ya High Cort ambayo inaonyesha kuwa ameikata baada ya order ya Mahakama, na siku zilikiwa zimefika 54 tangia mwajiri amepata nakala yake ya hukumu.Waungwana sheria inasemaje kuhusiana na hali kma hiyo.
 
Jamaa yangu ameshinda kesi CMA baada ya mwezi mmoja kupita bila mwajiri kusema lolote akaamua kukazia hukumu ambapo Mahakama kuu ikatoa order kwa mwajiri ikimtaka kutekeleza maamuzi ya CMA jamaa yangu alipopeleka order ndani ya week moja mwajiri akampatia copy ya appeal ya High Cort ambayo inaonyesha kuwa ameikata baada ya order ya Mahakama, na siku zilikiwa zimefika 54 tangia mwajiri amepata nakala yake ya hukumu.Waungwana sheria inasemaje kuhusiana na hali kma hiyo.
Rufaa siyo rufaa mpaka iwe imekidhi masharti na vigezo ,muda ukiwa ni mojawapo hivyo hiyo rufaa ni null and void.
 
Nadhani mahakama inaweza kuruhusu kama mwombaji anaweza kueleza to the satisfaction of the court ni kwa nini alichelewa kuomba. Au hakuna mazingira yanayoweza kumzuia mtu kutenda jambo fulani? Na mimi nisaidieni msimamo wa hili kisheria.
 
Nadhani mahakama inaweza kuruhusu kama mwombaji anaweza kueleza to the satisfaction of the court ni kwa nini alichelewa kuomba. Au hakuna mazingira yanayoweza kumzuia mtu kutenda jambo fulani? Na mimi nisaidieni msimamo wa hili kisheria.

Unachosema ni kweli, nikipitia vifungu nitakuhabarisha, ila kila mashauri yana muda wake maalum na kama una sababu za msingi huwa mahakama inaruhusu appeal ila napo kuna muda wake pia. Sikumbuki vifungu ila hata ukiwa na sababu za msingi kuna limit ya kuappeal nje ya muda uliowekwa.
 
Jamaa yangu ameshinda kesi CMA baada ya mwezi mmoja kupita bila mwajiri kusema lolote akaamua kukazia hukumu ambapo Mahakama kuu ikatoa order kwa mwajiri ikimtaka kutekeleza maamuzi ya CMA jamaa yangu alipopeleka order ndani ya week moja mwajiri akampatia copy ya appeal ya High Cort ambayo inaonyesha kuwa ameikata baada ya order ya Mahakama, na siku zilikiwa zimefika 54 tangia mwajiri amepata nakala yake ya hukumu.Waungwana sheria inasemaje kuhusiana na hali kma hiyo.

Angalia kamaametimiza haya:

1.He has applied for leave to appeal out of time

2.Then leave to appeal out of time has been granted

Angalia kama masharti hayo yametimizwa, if not then you have a chance to raise a PO (preliminary objection)
 
Jamaa ameisha raise hiyo PO,maana mwajiri ame-file High Cort Misc application na Revision tu.Sasa anasikilizia Mh Jaji maamuzi yake,ila nasikia hawa majaji wa High Cort Labour Division uwa wako fear sana na wote ni wakinamama
 
Back
Top Bottom