Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
Hehehehehe Moto usinitafutie ugomvi bana, jamaa akipiga chabo hapa akaona nna 'vivulana' si itakuwa balaa?Njoo Lizzy toa uzoefu wako, Pretta usijifiche na wewe njoo tunakutaka, Radhia sweet tupe uzoefu wa hiyo kazi maalum ambayo mwana Jf mwenzetu kauliza, First lady nasubiri mchango wako au ndo mpo busy kuvi-PM vivulana vya Lizzy?
BTT
Inahusu kwa wote, yani mmoja anaanza mwingine anamaliza.