- Thread starter
- #101
Mnasema???
..................... mwenzangu !!! inaonekana imekukolea hata kuongea huwezi ................
Mnasema???
Wanawake wa kichaga hawajui kukata viuono
Yaani umenigusa kweli!!!! So una imani hata mimi nitakuja kuokoka? Tatizo nilijaribu nikakuta pasta handsome kinoma, sikurudi tena church. Ujue kuwa mtenda maovu Mola anakuvumilia, ila kutaka kuwatendesha kondoo wake maovu hapo unamtafuta ubaya!!!
Ngoja najaribu kutafuta wa siku hizi maana nilizoea wa zamani.Halafu jibu nitakuwa nalo................. weeeeeeeeeeee tafadhali tena tafadhali wachaga wa zamani walikua kama unavyo dhani, lakini wa kileo ni moto wa kuotea mbali ........... wako juuu
Tunakata viuno tukiwa na walokole wenzetu.hivi walokole nao wanakataga viuno ...?
Tunakata viuno tukiwa na walokole wenzetu.
Jamani sio lazima kukata kiuno! Mastyle mengine haya ruhusu ila ile ya mguu kule kwa dirisha na mwengine kuleeee dirishani we kata tu ikiwezekana nenda nayo manake unaweza kuikata!!!
under 18 sitii neno ila zambi mjue ! l do remember kuna joke nilisoma ya mmasai baada ya kumpeleka mkewe hosp akaambiwa mimba imetunga nje akasma mimi nilijua tu nilimambia mapema akati mimi nalenga atulie yeye mamayeyo anakata viuno tu
wanakondoo mnajifunzia wapi haya mabo mabaya?