Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,336
- 8,579
Kuna baadhi ya Vijana sasa hivi wanadai Kuoa ni kukaribisha matatizo, hivi ni kweli kuoa ni kukaribisha matatizo?
Uoga tu! wa vijana mbona zamani walioa na matatizo yalikuwepo.... hiyo inabaki kwa mtu binafsi kwanini haoi....Kuna baadhi ya Vijana sasa hivi wanadai Kuoa ni kukaribisha matatizo, hivi ni kweli kuoa ni kukaribisha matatizo?
Kila Mtu akisema hivyo hali itakuwaje?Ni kweli , ni kukaribisha matatizo hasa ukiwa na uwezo mdogo ..Gharama za maisha zinapaa , mambo mengi yanaongezeka
Haitakuwa vyovyoteKila Mtu akisema hivyo hali itakuwaje?
Hapana namaanisha kutakuwa hakuna Kuoa wala Kuolewa.Haitakuwa vyovyote
Kwani ndoa ni oxygen kiasi kwamba mtu akiikosa anakufa?
Which is okay!Hapana namaanisha kutakuwa hakuna Kuoa wala Kuolewa.
Kunywa hii Baby Girl 🍹Haitakuwa vyovyote
Kwani ndoa ni oxygen kiasi kwamba mtu akiikosa anakufa?
Umeona ee?Ndoa sio ya kila mtu.
Crushie kama crushie 😂😁Ndoa sio ya kila mtu.
Kunywa hii Baby Girl 🍹
Ndoa sio ya kila mtu.
Ndoa sio ya Kila mtuWasiwape pressure ambao hawana ndoa wajione kama hamna maisha bila ndoa
Pokea simu.Crushie kama crushie 😂😁
Nipigie tenaPokea simu.