Kukamatwa kwa ndege kutazimwa kwa tukio la kukamata au kupeleka vigogo mahakamani kutulizana upepo

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Nimfuatiliaji mzuri wa mbinu za serikali yetu katika kupanua magoli wafunge goli la utulivu.

Kwa tukio la kushikiliwa ndege yetu usishangae soon akatumbuliwa mtu au ukasikia watu flani wamekamatwa kwa uhujumu uchumi lengo lao Ni kuwasaulisha Watanzania.

Asipotumbuliwa mtu wa wizara Kati ya sheria, miundombinu au BOT Basi wengine wenye tetesi za makandokando wajiandae mafaili yao kuvutwa na jumatatu wakatinga kisutu.

Balozi wetu South Nakuomea huruma hasa pale utakaposhindwa kushawishi ndege kurudi nchini.

Mwanasheria mkuu wa serikali jiandae maana ulipaswa kuona tatizo mapema na kumshauri mkurugenzi ATCL juu ya ruti za kimataifa ikiwemo S.Afrika.Najua unaelewa chanzo na mezani kwako hukosi notisi mbalimbali za madai ila mlipuuza Hadi mzee baba awasukume au taifa libagazwe...subiri

Kabudi unaelewa Vita ya kiuchumi ila ulikosa kuona madhara ya ndege yetu.

Inteligencia yetu unaona na kujua akina zito wanapanga Nini na Chadema wanafanya nn ila hakuna aliyeona dalili za ndege kukamatwa....mtanyolewa na Mzee baba kwa sababu mna wajibu wa kumshauri mambo ya kitaifa na siyo mambo ya mustakabali wa chama Cha mapinduzi
 
Shirika letu hili linafanya kazi nzuri sana...Lengo letu ni kwamba liendelee kuwepo lakini ningewashauri wasikimbilie route nyingi ssna zikawashinda wakakosa target yao..Wakue Taratibu taratibu ...wanahitaji muda wakue vizuri hasa hasa waingeze ndege zingine ..kama hizi airbus wawe nazo kuanzia 10 kuendelea ndio wacover route nyingi za nje...hili la deni nadhani ni jambo la kisheria kule masuala ni tofauti na hapa kule Hakuna alie juu ya sheria hata Rais wao wanampa makavu wazi wazi.

Tunaamin litaisha vizuri...Ndege ni yetu tusiombee nchi yetu mabaya.Mwisho wa siku mfahamu ndege hii sio pesa ya mtu binafsi ni yetu wote watanzania hata yule wa kijijini Masanga aliuza kitunguu alichangia kwa kodi yake..
 
Mambo yenu ya kipumbavu ya kupuuza sheria na katiba msijaribu kuwapelekea binadamu waliostaarabika. Kama mmeamua kuishi kama mifugo ni nyie. Huko duniani wanaishi binadamu wanaojua maana ya sheria.

Wapi huko wanaishi kistaarabu kuliko Bongo. South Africa huko wanakoua watu ovyo. Acha Siasa za kijinga. Ukiulizwa katiba gani inavunjwa. Utasema uhuru wa kutukana. Tell me just once. Lini tangu ujue mikutano ya kisiasa uliona wanazungumzia sera na sio matusi. Tz Siasa mmezipokea mwijso hata hamjui tofauti ya Siasa na maslahi ya nchi. Mko kama wake Wenza.
 
Nimfuatiliaji mzuri wa mbinu za serikali yetu katika kupanua magoli wafunge goli la utulivu.

Kwa tukio la kushikiliwa ndege yetu usishangae soon akatumbuliwa mtu au ukasikia watu flani wamekamatwa kwa uhujumu uchumi lengo lao Ni kuwasaulisha Watanzania.

Asipotumbuliwa mtu wa wizara Kati ya sheria, miundombinu au BOT Basi wengine wenye tetesi za makandokando wajiandae mafaili yao kuvutwa na jumatatu wakatinga kisutu.

Balozi wetu South Nakuomea huruma hasa pale utakaposhindwa kushawishi ndege kurudi nchini.

Mwanasheria mkuu wa serikali jiandae maana ulipaswa kuona tatizo mapema na kumshauri mkurugenzi ATCL juu ya ruti za kimataifa ikiwemo S.Afrika.Najua unaelewa chanzo na mezani kwako hukosi notisi mbalimbali za madai ila mlipuuza Hadi mzee baba awasukume au taifa libagazwe...subiri

Kabudi unaelewa Vita ya kiuchumi ila ulikosa kuona madhara ya ndege yetu.

Inteligencia yetu unaona na kujua akina zito wanapanga Nini na Chadema wanafanya nn ila hakuna aliyeona dalili za ndege kukamatwa....mtanyolewa na Mzee baba kwa sababu mna wajibu wa kumshauri mambo ya kitaifa na siyo mambo ya mustakabali wa chama Cha mapinduzi
Ramaphosa ni rafiki yake watatamaliza
....hahahaaaa ajiandae bilioni zingine kama zile walizoenda kulipa mafichoni Canada hadi Lissu akapigwa Risasi kwa kuusema ukweli.
 
Utatoa pou sana kakini ndio ujue ndege ishakamatwa.
Wapi huko wanaishi kistaarabu kuliko Bongo. South Africa huko wanakoua watu ovyo. Acha Siasa za kijinga. Ukiulizwa katiba gani inavunjwa. Utasema uhuru wa kutukana. Tell me just once. Lini tangu ujue mikutano ya kisiasa uliona wanazungumzia sera na sio matusi. Tz Siasa mmezipokea mwijso hata hamjui tofauti ya Siasa na maslahi ya nchi. Mko kama wake Wenza.
 
Shirika letu hili linafanya kazi nzuri sana...Lengo letu ni kwamba liendelee kuwepo lakini ningewashauri wasikimbilie route nyingi ssna zikawashinda wakakosa target yao..Wakue Taratibu taratibu ..hili la deni nadhani ni jambo la kisheria kule masuala ni tofauti na hapa kule Hakuna alie juu ya sheria hata Rais wao wanampa makavu wazi wazi.

Tunaamin litaisha vizuri...Ndege ni yetu tusiombee nchi yetu mabaya.
Ndege ni yenu wewe na nani?? Ndege ile ni ya ccm baba.
 
Safari hii hakuna anaejua nini kimetokea,kila mtu anahisi tu
Tutulie,kesho wenye mali yetu tutajua tu mbivu na mbichi,na kama kuna mchawi tutambani tu lazima atatoka hadharani
 
Kwani kimetokea nini.
FB_IMG_1566589508279.jpg
 
Back
Top Bottom