Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Hello JF,
Baada ya hili balaa…. kuna umuhimu wa serikali kuwa na record za watu wake.. ni procedure itakayo kuwa kubwa and costly lakini worth it.
Cha kumshauri Ummy Mwalimu, ni kutopanic hili ni jambo la dunia....
Second kupitia records walizo nazo, wa identify sehemu zenye maambukizi zaidi na zile hela zilizotolewa juzi na Rais Magufuli ziende kujenga hospitali in these high priority areas
Third Mkuu Ummy ungeweka mfuko/ fund/hotline watu wachangie... utahitaji funds kukabiliana na hili dubwana.....
Lengo la kuanzisha mada hii ni kuanzisha kampeni ya KIFIMBO CHEZA,
Serikali kama inaweza inunue FIMBO kwa kila mtanzania 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Yes! kila mtu awe na stick yenye mita moja,..kelele zipigwe watu wakienda huko kwenye mashughuli ya kila siku wakae mbali na wengine…kwa umbali wa fimbo( one metre)
Asiyekua na stick akamatwe!
Yes social distancing ni only reliable method inayoonyesha matokeo positive huko dunia ya kwanza...lockdown inazingua..na sidhani kama tutaiweza…
So, na sisi tuikazanie hii distancing... well with modification... yetu ni lazima..🤣🤣🤣🤣
Karibuni kwa mawazo...
Baada ya hili balaa…. kuna umuhimu wa serikali kuwa na record za watu wake.. ni procedure itakayo kuwa kubwa and costly lakini worth it.
Cha kumshauri Ummy Mwalimu, ni kutopanic hili ni jambo la dunia....
Second kupitia records walizo nazo, wa identify sehemu zenye maambukizi zaidi na zile hela zilizotolewa juzi na Rais Magufuli ziende kujenga hospitali in these high priority areas
Third Mkuu Ummy ungeweka mfuko/ fund/hotline watu wachangie... utahitaji funds kukabiliana na hili dubwana.....
Lengo la kuanzisha mada hii ni kuanzisha kampeni ya KIFIMBO CHEZA,
Serikali kama inaweza inunue FIMBO kwa kila mtanzania 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Yes! kila mtu awe na stick yenye mita moja,..kelele zipigwe watu wakienda huko kwenye mashughuli ya kila siku wakae mbali na wengine…kwa umbali wa fimbo( one metre)
Asiyekua na stick akamatwe!
Yes social distancing ni only reliable method inayoonyesha matokeo positive huko dunia ya kwanza...lockdown inazingua..na sidhani kama tutaiweza…
So, na sisi tuikazanie hii distancing... well with modification... yetu ni lazima..🤣🤣🤣🤣
Karibuni kwa mawazo...