THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
narudi zangu saa hizi..
Nakuta kasheshe mtaani jamaa kamtia mimba demu m1 maskini alikuwa hajui demu ana mtoto mdogo wa miaka miwili.
Demu kahamia kwa jamaa mara mjomba bi mkubwa n kaka wa huyo demu wamemvamia jamaa oooh kama umempenda binti yetu mlee na mtoto. Full kasheshe. Jamaa kawa mpole.
My take:
Baba mtoto yuko wapi hadi asakiziwe jamaa?
sasa hiyo raha au karaha??