Kukaa uchi mbele ya mtoto!!

maadili ni muhimu sio lazima usubiri dalili za ufahamu maana unatofautiana kati ya mtoto huyu na mwingine
 
Mi babaake huwa anakataza mtoto anibusu au mi kumbusu anadai namfundisha mtoto tabia mbaya ana miaka 2 sasa
 
....Akishaingia nilikuwa napewa BAZOKA au kitu kingine......
sikumbuki vizuri baada ya hapo maana kumbukumbu zimepotea.[/QUOTE]


hiyo unayodhani ulikuwa unapewa bazoka au "kitu kingine..." basi ujue hapo ulikuwa unapewa ya wa kubwa unyonye ili usinzie kisha wao waendelee na shughuli iliyomleta huyo mgeni.....!!!
 
angalia usijeshangaa mtoto akisema mbele za watu "jana nilimuona baba kamlalia mama ALAFU ANA KAMA KIGONGO"
  • tafuta chumba kwaajili ya mtoto
  • jitahidi kabla ya kufanya mambo yenu awe amelala KUMBUKA watoto ni wajanja sana usidharau uwezo wake wa kuona, kumbukumbu na kuelewa.
 
Sio vizuri, ni bora kufanya akiwa amelala! Huwez jua hayo anayoyaona yanamuathiri vipi!
 
Wadau naomba kuuliza kuna kitu kina nitatiza, mimi nina mtoto mchanga wa miezi13 yaani mwaka mmoja na mwezi mmoja, tokea kazaliwa huwa nafanya jambo lolote mbele yake kama vile kubadirisha nguo mbele yake, kukaa uchi mbele yake na kuchezacheza kikubwa na mama yake ilihali yeye anachezacheza kitandani na anatutazama. Nimeanza kuwa na wasiwasi kwamba huenda anatuchora, je ni katika umri gani wa mtoto natakiwa nisikae uchi mbele yake wala kucheza michezo ya kikubwa na mama yake?
Mimi ningesema kuanzia miaka 2+ hivi. Mimi binafsi sipendi kukaa uchi mbele ya mtu yoyote bila sababu ya msingi. So hata kama inanilazimu kubadili nguo mbele ya mtoto nitajifunga taulo au kanga ya mama yake lakini sio kukaa uchi kabisa.
 
Back
Top Bottom