Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Wadau naomba kuuliza kuna kitu kina nitatiza, mimi nina mtoto mchanga wa miezi13 yaani mwaka mmoja na mwezi mmoja, tokea kazaliwa huwa nafanya jambo lolote mbele yake kama vile kubadirisha nguo mbele yake, kukaa uchi mbele yake na kuchezacheza kikubwa na mama yake ilihali yeye anachezacheza kitandani na anatutazama. Nimeanza kuwa na wasiwasi kwamba huenda anatuchora, je ni katika umri gani wa mtoto natakiwa nisikae uchi mbele yake wala kucheza michezo ya kikubwa na mama yake?