johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Buholela sasa ni mkurugenzi wa habari Wizara ya mambo ya nje.
Yeye ndio Msigwa wa Prof Kabudi!
Buholela sasa ni mkurugenzi wa habari Wizara ya mambo ya nje.
Le mutuz kazaliwa mwaka 1954 na Pascal Mayalla kazaliwa mwaka 1968!Unà utani Pascal Mayalla awe uvccm? Mbona ni ana umri sawa na le mutuz
Kazi kweli2015 Spencer Lameck alikuwa anarepoti habari za chadema kwenye kampeni na Sam Mahela alikuwa anarepoti habari za Kampeni ya Mkuu wa magongoni.
Matokeo baadaye figisu ikafanywa Spencer akaachishwa kazi ITV ila Sam Mahela akapata shavu TBC
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Kumbe saivi ana shavu sanaBuholela sasa ni mkurugenzi wa habari Wizara ya mambo ya nje.
Yeye ndio Msigwa wa Prof Kabudi!
Sasa ni Boss!
teh!Nikiripoti kutoka Tarime mimi ni Joooooooji Maratuuuuu Biiiiiiiiiibiiiiiisiiiiiiiiiiii
DahUfoo Saaaaroooo
MafurikoooooooHuyu spencer naye alikiwasha sana kwenye kampeni za 2015. Sijui amepotelea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
George Marato yuko The bar tender ya Wasafi Tv
Ufoo alishafariki???
Muogo ndo niniUsiku huu katika pitapita zangu za mabandani nikitafuta hata muogo wa kumalizia siku ghafla nikaona taarifa inayohusiana na mabasi ya kituo cha mabasi Ubungo Dzm,issue kubwa ilikuwa ni pasaka.
Kukaa kdg ghafla mwandishi anayeripoti hio habari sio mgeni masikioni mwangu,nikasema ngj nisubiri.
Kuendelea kukaa kdg ghafla nikasikia nikiripoti kutokea kituo cha mabasi cha Ubungo mimi ni “Henry Mabung'o” wa TBC Aridhio-huyu jamaa nilimfahamu kipindi hicho akichapa kazi pale ITV
Nikashangaa sana na kujihisi kumbe nipo nyuma kitambo sana,kuongea na baadhi ya watu pale ghafla wakaniambia hadi wakina Sam Mahela walishama kitambo Duuh!!!balaa hili
Ghafla akili ikanijia kuwa kuna yule jamaa aliyekuwa anaitwa Emanuel Buhohela,hata sijui aliishia wapi
Hebu ongezeni na kwenu ili mnitoe usingizi kwa sabbu saiv najihisi nipo nyuma sana ya dunia,japo nilikuwa mmoja ya mfuatiliaji wa habari sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Paskali.huyuhuyu kwa kitimotoHata Pascal Mayalla alihamia star tv akitokea jamii forums
😳😳 Basi nimechanganya Mungu ampe umri mrefu,siku zote najua kafa.Ufoo alishafariki???
Wacha masiara mkuu,mchumba wake ndie aliefariki
tubu!
Sent using Jamii Forums mobile app
sio yeyeBasi nimechanganya Mungu ampe umri mrefu,siku zote najua kafa.