Kukaa kwa Chama muda mrefu madarakani si tatizo bali mtu kukaa muda mrefu ndio tatizo. Viongozi wa CHADEMA na CUF jifunzeni kwa Sudan na Zimbabwe

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,601
Tukiyaangazia macho kwa majirani zetu Sudani ambao wanaongozwa na Omar Hassan al-Bashir kutoka mwaka 1989 -2019 chini ya chama chake cha ‘ National Congress Party( NCP), waliamua kufanya maandamano ya Amani ya kumuondoa kiongozi huyo wa muda mrefu na mwisho jeshi kutwaa madaraka.

Si Sudan tu ambapo jeshi limetwaa madaraka kwa muda baada ya wananchi kuandamana kushinikiza viongozi wa serikali zao kuondoka madarakani baada ya kuchokwa kwa kukaa muda mrefu madarakani, Zimbambwe ni mfano mwingine ulio karibu.

Licha ya kwamba wananchi hao wanaandamana kuwatoa viongozi wao lakini cha kushangaza ni kwamba bado wanaendelea kukichagua chama cha kuongozi huyo licha ya kuwa na chenyewe kimekaa muda mrefu.

Hili halina ubishi kuwa hapa Tanzania wanaokaa na kusema kuwa CCM wajiandae watakuwa hawauoni huu mtiririko wa hayo matukio vizuri au wameamu kuficha ukweli kwa kukumbatia uongo. Si Magufuli wala CCM ambao wananchi wameichoka na kuwa katiba inasema kuwa kiongozi kwa ngazi ya Urais atakaa madarakani kwa vipindi viwili tu vya miaka mitano mitano, huo muda ni wa kikatiba na haufanyi wananchi wakamchoka kiongozi wao.

Tatizo la msingi ambalo wengi wanajaribu kulificha ni kuwa wananchi wameanza kuwachoka viongozi wakuu wa vyama vya upinzani yaani CUF na CHADEMA kwa kukaa madarakani muda mrefu na hiyo hali ndio naweza kuifananisha na huko wanapofanya maandano ya kuwaondoa viongozi

Sudani na Zimbabwe zimewasha taa nyekundu kwa viongozi wa CHADEMA na CUF na si kwa CCM na Magufuli, ni kwa sababu watu wanachoka kuwa na kiongozi mmoja kwa muda mrefu na si kuwa na chama kimoja muda mrefu. Ingekuwa watu wanakichoka Chama basi ZANU-PF ya Zimbabwe isingerudi madarakani baada ya Robert Mugabe kuondolewa.

Wito

Vyama vya siasa muwe na tabia ya kubadili viongozi wenu baada ya muda ili wanachi wasiwachoke na kupelekea kufanya maandamano ya kushinikiza viongozi wenu watoke na kugeuka kuwa aibu kwenu na kwa Chama.
 
Mtoto aliezaliwa wakati Mbowe anapewa Uenyekit Na Mkewe Leo Hii yupo Form two
 
Tukiyaangazia macho kwa majirani zetu Sudani ambao wanaongozwa na Omar Hassan al-Bashir kutoka mwaka 1989 -2019 chini ya chama chake cha ‘ National Congress Party( NCP), waliamua kufanya maandamano ya Amani ya kumuondoa kiongozi huyo wa muda mrefu na mwisho jeshi kutwaa madaraka.

Si Sudan tu ambapo jeshi limetwaa madaraka kwa muda baada ya wananchi kuandamana kushinikiza viongozi wa serikali zao kuondoka madarakani baada ya kuchokwa kwa kukaa muda mrefu madarakani, Zimbambwe ni mfano mwingine ulio karibu.

Licha ya kwamba wananchi hao wanaandamana kuwatoa viongozi wao lakini cha kushangaza ni kwamba bado wanaendelea kukichagua chama cha kuongozi huyo licha ya kuwa na chenyewe kimekaa muda mrefu.

Hili halina ubishi kuwa hapa Tanzania wanaokaa na kusema kuwa CCM wajiandae watakuwa hawauoni huu mtiririko wa hayo matukio vizuri au wameamu kuficha ukweli kwa kukumbatia uongo. Si Magufuli wala CCM ambao wananchi wameichoka na kuwa katiba inasema kuwa kiongozi kwa ngazi ya Urais atakaa madarakani kwa vipindi viwili tu vya miaka mitano mitano, huo muda ni wa kikatiba na haufanyi wananchi wakamchoka kiongozi wao.

Tatizo la msingi ambalo wengi wanajaribu kulificha ni kuwa wananchi wameanza kuwachoka viongozi wakuu wa vyama vya upinzani yaani CUF na CHADEMA kwa kukaa madarakani muda mrefu na hiyo hali ndio naweza kuifananisha na huko wanapofanya maandano ya kuwaondoa viongozi

Sudani na Zimbabwe zimewasha taa nyekundu kwa viongozi wa CHADEMA na CUF na si kwa CCM na Magufuli, ni kwa sababu watu wanachoka kuwa na kiongozi mmoja kwa muda mrefu na si kuwa na chama kimoja muda mrefu. Ingekuwa watu wanakichoka Chama basi ZANU-PF ya Zimbabwe isingerudi madarakani baada ya Robert Mugabe kuondolewa.

Wito

Vyama vya siasa muwe na tabia ya kubadili viongozi wenu baada ya muda ili wanachi wasiwachoke na kupelekea kufanya maandamano ya kushinikiza viongozi wenu watoke na kugeuka kuwa aibu kwenu na kwa Chama.
Inafaa sana wakati mwingine muwe mnaficha upumbavu wenu.
Mbowe toka lini alikuwa kiongozi wa nchi!?
Bashir ni kiongozi wa nchi
Mugabe alikuwa kiongozi wa nchi
Hapo unamuingizaje mbowe kwenye madaraka ya nchi?
Kama mtu umekoja hoja,kalale na familia yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo mnavyojiliwaza.Ha
Tukiyaangazia macho kwa majirani zetu Sudani ambao wanaongozwa na Omar Hassan al-Bashir kutoka mwaka 1989 -2019 chini ya chama chake cha ‘ National Congress Party( NCP), waliamua kufanya maandamano ya Amani ya kumuondoa kiongozi huyo wa muda mrefu na mwisho jeshi kutwaa madaraka.

Si Sudan tu ambapo jeshi limetwaa madaraka kwa muda baada ya wananchi kuandamana kushinikiza viongozi wa serikali zao kuondoka madarakani baada ya kuchokwa kwa kukaa muda mrefu madarakani, Zimbambwe ni mfano mwingine ulio karibu.

Licha ya kwamba wananchi hao wanaandamana kuwatoa viongozi wao lakini cha kushangaza ni kwamba bado wanaendelea kukichagua chama cha kuongozi huyo licha ya kuwa na chenyewe kimekaa muda mrefu.

Hili halina ubishi kuwa hapa Tanzania wanaokaa na kusema kuwa CCM wajiandae watakuwa hawauoni huu mtiririko wa hayo matukio vizuri au wameamu kuficha ukweli kwa kukumbatia uongo. Si Magufuli wala CCM ambao wananchi wameichoka na kuwa katiba inasema kuwa kiongozi kwa ngazi ya Urais atakaa madarakani kwa vipindi viwili tu vya miaka mitano mitano, huo muda ni wa kikatiba na haufanyi wananchi wakamchoka kiongozi wao.

Tatizo la msingi ambalo wengi wanajaribu kulificha ni kuwa wananchi wameanza kuwachoka viongozi wakuu wa vyama vya upinzani yaani CUF na CHADEMA kwa kukaa madarakani muda mrefu na hiyo hali ndio naweza kuifananisha na huko wanapofanya maandano ya kuwaondoa viongozi

Sudani na Zimbabwe zimewasha taa nyekundu kwa viongozi wa CHADEMA na CUF na si kwa CCM na Magufuli, ni kwa sababu watu wanachoka kuwa na kiongozi mmoja kwa muda mrefu na si kuwa na chama kimoja muda mrefu. Ingekuwa watu wanakichoka Chama basi ZANU-PF ya Zimbabwe isingerudi madarakani baada ya Robert Mugabe kuondolewa.

Wito

Vyama vya siasa muwe na tabia ya kubadili viongozi wenu baada ya muda ili wanachi wasiwachoke na kupelekea kufanya maandamano ya kushinikiza viongozi wenu watoke na kugeuka kuwa aibu kwenu na kwa Chama.
 
Tatizo siyo MTU kukaa muda mrefu.Tatizo ni uongozi unaojali maslahi ya wanaoongozwa.Daima haki huinua taifa na si vinginevyo.Acheni kujiliwaza.
 
Tukiyaangazia macho kwa majirani zetu Sudani ambao wanaongozwa na Omar Hassan al-Bashir kutoka mwaka 1989 -2019 chini ya chama chake cha ‘ National Congress Party( NCP), waliamua kufanya maandamano ya Amani ya kumuondoa kiongozi huyo wa muda mrefu na mwisho jeshi kutwaa madaraka.

Si Sudan tu ambapo jeshi limetwaa madaraka kwa muda baada ya wananchi kuandamana kushinikiza viongozi wa serikali zao kuondoka madarakani baada ya kuchokwa kwa kukaa muda mrefu madarakani, Zimbambwe ni mfano mwingine ulio karibu.

Licha ya kwamba wananchi hao wanaandamana kuwatoa viongozi wao lakini cha kushangaza ni kwamba bado wanaendelea kukichagua chama cha kuongozi huyo licha ya kuwa na chenyewe kimekaa muda mrefu.

Hili halina ubishi kuwa hapa Tanzania wanaokaa na kusema kuwa CCM wajiandae watakuwa hawauoni huu mtiririko wa hayo matukio vizuri au wameamu kuficha ukweli kwa kukumbatia uongo. Si Magufuli wala CCM ambao wananchi wameichoka na kuwa katiba inasema kuwa kiongozi kwa ngazi ya Urais atakaa madarakani kwa vipindi viwili tu vya miaka mitano mitano, huo muda ni wa kikatiba na haufanyi wananchi wakamchoka kiongozi wao.

Tatizo la msingi ambalo wengi wanajaribu kulificha ni kuwa wananchi wameanza kuwachoka viongozi wakuu wa vyama vya upinzani yaani CUF na CHADEMA kwa kukaa madarakani muda mrefu na hiyo hali ndio naweza kuifananisha na huko wanapofanya maandano ya kuwaondoa viongozi

Sudani na Zimbabwe zimewasha taa nyekundu kwa viongozi wa CHADEMA na CUF na si kwa CCM na Magufuli, ni kwa sababu watu wanachoka kuwa na kiongozi mmoja kwa muda mrefu na si kuwa na chama kimoja muda mrefu. Ingekuwa watu wanakichoka Chama basi ZANU-PF ya Zimbabwe isingerudi madarakani baada ya Robert Mugabe kuondolewa.

Wito

Vyama vya siasa muwe na tabia ya kubadili viongozi wenu baada ya muda ili wanachi wasiwachoke na kupelekea kufanya maandamano ya kushinikiza viongozi wenu watoke na kugeuka kuwa aibu kwenu na kwa Chama.
Buku saba tayari kwa kupiga pesa za umma kwa post kama hii lazima akili ioze na mtu kubakia maggots
 
Chama au mtu kukaa muda mrefu madarakani sio tatizo, tatizo ni pale panaposhindikana kuwepo kwa demokrasia.
 
Pumbafu kabisa chama kinakaa madarakani kwa njia halali au haramu? Acha kuandika upuuzi.



Tukiyaangazia macho kwa majirani zetu Sudani ambao wanaongozwa na Omar Hassan al-Bashir kutoka mwaka 1989 -2019 chini ya chama chake cha ‘ National Congress Party( NCP), waliamua kufanya maandamano ya Amani ya kumuondoa kiongozi huyo wa muda mrefu na mwisho jeshi kutwaa madaraka.

Si Sudan tu ambapo jeshi limetwaa madaraka kwa muda baada ya wananchi kuandamana kushinikiza viongozi wa serikali zao kuondoka madarakani baada ya kuchokwa kwa kukaa muda mrefu madarakani, Zimbambwe ni mfano mwingine ulio karibu.

Licha ya kwamba wananchi hao wanaandamana kuwatoa viongozi wao lakini cha kushangaza ni kwamba bado wanaendelea kukichagua chama cha kuongozi huyo licha ya kuwa na chenyewe kimekaa muda mrefu.

Hili halina ubishi kuwa hapa Tanzania wanaokaa na kusema kuwa CCM wajiandae watakuwa hawauoni huu mtiririko wa hayo matukio vizuri au wameamu kuficha ukweli kwa kukumbatia uongo. Si Magufuli wala CCM ambao wananchi wameichoka na kuwa katiba inasema kuwa kiongozi kwa ngazi ya Urais atakaa madarakani kwa vipindi viwili tu vya miaka mitano mitano, huo muda ni wa kikatiba na haufanyi wananchi wakamchoka kiongozi wao.

Tatizo la msingi ambalo wengi wanajaribu kulificha ni kuwa wananchi wameanza kuwachoka viongozi wakuu wa vyama vya upinzani yaani CUF na CHADEMA kwa kukaa madarakani muda mrefu na hiyo hali ndio naweza kuifananisha na huko wanapofanya maandano ya kuwaondoa viongozi

Sudani na Zimbabwe zimewasha taa nyekundu kwa viongozi wa CHADEMA na CUF na si kwa CCM na Magufuli, ni kwa sababu watu wanachoka kuwa na kiongozi mmoja kwa muda mrefu na si kuwa na chama kimoja muda mrefu. Ingekuwa watu wanakichoka Chama basi ZANU-PF ya Zimbabwe isingerudi madarakani baada ya Robert Mugabe kuondolewa.

Wito

Vyama vya siasa muwe na tabia ya kubadili viongozi wenu baada ya muda ili wanachi wasiwachoke na kupelekea kufanya maandamano ya kushinikiza viongozi wenu watoke na kugeuka kuwa aibu kwenu na kwa Chama.
 
Back
Top Bottom