Dr Mwakyembe amesema kuwa kujiuzuru si suluhu ya kila kitu,ameyasema hayo akiwa zanzibar,
Kauli yake hii inahusiana kabisa na tukio la ajali ya Meli huko Visiwani,,,,
Sosi:Nipashe
Najiuliza hivi Mwakyembe aliposhauri wana-richmond wajiuzuru alidhan ni Suluhu????
Lakini pia waziri wa Mawasiliano wa zanzibar naye amaesema hana sababu ya kujizuru,,,,,bado ameendelea kusisitiza kuwa Ajali ya Meli imesababishwa na DHORUBA(ZANZIBAR LEO)
Kauli yake hii inahusiana kabisa na tukio la ajali ya Meli huko Visiwani,,,,
Sosi:Nipashe
Najiuliza hivi Mwakyembe aliposhauri wana-richmond wajiuzuru alidhan ni Suluhu????
Lakini pia waziri wa Mawasiliano wa zanzibar naye amaesema hana sababu ya kujizuru,,,,,bado ameendelea kusisitiza kuwa Ajali ya Meli imesababishwa na DHORUBA(ZANZIBAR LEO)