gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 293
mimi kuna dada nilipewa namba yake,tukawa tunawasiliana sana lakini kabla hata ya kuonana, tayari alianza kunipiga virungu vya,mara leo vocha,mara viatu na suti inayomatch kwa ajili ya ofisini...,gharama yake sijui laki na ngapi...
Sikuwahi kumtumia fedha katika ombi lake lolote...ila nililisitiza kuonana naye kwanza.. Akaanza kuuliza," Kwani we unapenda mwanamke wa aina gani..? Je, kama utaona sina vigezo unavyovitaka je?"
Tulionana na nikamwambia nimefurahi kumuona ni mwanamke mwenye vigezo vyote ninavyovitaka.. Baada ya vinywaji tukaagana..
Tulipoachana na nakafika nyumbani,alinishangaza kwa kunitumia ujumbe kuwa hakufurahia kukutana kwa kuwa sikutoa maneno yoyote ya kumhakikishia kuwa atapata uniform hiyo ya readymade kwa ajili ya ofisini kwao...
Niishie hapo.. Je,huyu atakuwa group gani?
Sikuwahi kumtumia fedha katika ombi lake lolote...ila nililisitiza kuonana naye kwanza.. Akaanza kuuliza," Kwani we unapenda mwanamke wa aina gani..? Je, kama utaona sina vigezo unavyovitaka je?"
Tulionana na nikamwambia nimefurahi kumuona ni mwanamke mwenye vigezo vyote ninavyovitaka.. Baada ya vinywaji tukaagana..
Tulipoachana na nakafika nyumbani,alinishangaza kwa kunitumia ujumbe kuwa hakufurahia kukutana kwa kuwa sikutoa maneno yoyote ya kumhakikishia kuwa atapata uniform hiyo ya readymade kwa ajili ya ofisini kwao...
Niishie hapo.. Je,huyu atakuwa group gani?