Kujiunga sua BVM

Kujiunga sua BVM

wise boi

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2017
Posts
363
Reaction score
795
Habari zenu wakuu,

Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuwa hai hadi muda huu na mema mengi anayozidi kunitendea katika maisha yangu.

Wakuu ,mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2017 ninayetarajia kujiunga na chuo mwaka huu.....

Namshukuru Mungu nimechaguliwa kujiunga na Sokoine university (SUA) kwa kozi ya BVM....

Najua humu ndani kuna watu mbalimbali.....waliosioma BVM..na wanaosoma sa ivi huko sua....na ambao wana uelewa kusu BVM........nlikuwa naomba ushauri kusu BVM ili nijue jinsi ya kupambana nao pindi ntakapofika huko chuoni.

Kwa pamoja tulijenge taifa letu.......
Asanteni.
[HASHTAG]#wise[/HASHTAG] boi
 
Habari zenu wakuu,

Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuwa hai hadi muda huu na mema mengi anayozidi kunitendea katika maisha yangu.

Wakuu ,mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2017 ninayetarajia kujiunga na chuo mwaka huu.....

Namshukuru Mungu nimechaguliwa kujiunga na Sokoine university (SUA) kwa kozi ya BVM....

Najua humu ndani kuna watu mbalimbali.....waliosioma BVM..na wanaosoma sa ivi huko sua....na ambao wana uelewa kusu BVM........nlikuwa naomba ushauri kusu BVM ili nijue jinsi ya kupambana nao pindi ntakapofika huko chuoni.

Kwa pamoja tulijenge taifa letu.......
Asanteni.
[HASHTAG]#wise[/HASHTAG] boi
Hongera mkuu pia kakomae
Ila vip ulikuwa na point ngap maan kuna dogo hapa kakosa ana 11 cbg
 
Ni moja ya kozi ya kibabe pale SUA baada ya Engineering,Msuli wa BVM unaenda kama ni mmezaji mzuri wa materminology.Japo watu wanatishwa sana LAKINI unamaliza vizuri kuna msela wangu mimi nilikuwa nashangaa wenzie wanavyokomaaa lakini yeye kawaida tuu Mapali kama kawa na alibeba nanga yake murua kabisa.Cha msingi fuata wanacho kusisitizia usilete ujuaji.Utakutana na Practical,Oral,Paper Exams za kutoshaaa
 
Habari zenu wakuu,

Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuwa hai hadi muda huu na mema mengi anayozidi kunitendea katika maisha yangu.

Wakuu ,mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2017 ninayetarajia kujiunga na chuo mwaka huu.....

Namshukuru Mungu nimechaguliwa kujiunga na Sokoine university (SUA) kwa kozi ya BVM....

Najua humu ndani kuna watu mbalimbali.....waliosioma BVM..na wanaosoma sa ivi huko sua....na ambao wana uelewa kusu BVM........nlikuwa naomba ushauri kusu BVM ili nijue jinsi ya kupambana nao pindi ntakapofika huko chuoni.

Kwa pamoja tulijenge taifa letu.......
Asanteni.
[HASHTAG]#wise[/HASHTAG] boi
Dah mkuu utakuwa ndan ya campus hongera.
 
Ni moja ya kozi ya kibabe pale SUA baada ya Engineering,Msuli wa BVM unaenda kama ni mmezaji mzuri wa materminology.Japo watu wanatishwa sana LAKINI unamaliza vizuri kuna msela wangu mimi nilikuwa nashangaa wenzie wanavyokomaaa lakini yeye kawaida tuu Mapali kama kawa na alibeba nanga yake murua kabisa.Cha msingi fuata wanacho kusisitizia usilete ujuaji.Utakutana na Practical,Oral,Paper Exams za kutoshaaa
Sante mkuu kwa maelezo yako
 
Hongera Dogo, BVM sio ngumu sema kuna notes nyingi za kusoma. Kwa hiyo kila muda ni mchakamchaka ukizembea tu imekula kwako.
 
Iyo ni medicine utasoma miaka 5 apo sema ya wanyama sijui inakuaje...cha muhimu usiishi kisekondari tu discuss na wenzio hudhuria lectures na soma wa malengo
 
Mkuu Hongera sana kwa kuchaguliwa kujiunga na chuo bora cha kilimo hapa Tanzania... Na karibu katika college yetu pendwa ya 'College of veterinary and Biomedical Science "........

Shule ya pale ndani ni kawaida sana incase kama umeenda kusoma kweli... but ukienda ukaanza kufunua sketi za kina dada shule ya mule ndani itakuwia vigumu sana.... But huwa na imani kubwa kama umeweza kuchaguliwa kwa kozi yetu pendwa basi upstairs uko vizuriii.....

Mimi binafsi nimemaliza iyo kozi na kwa uzoefu wangu shule ya mwaka wa kwanza ni hatari hapo inabidi u turn ur mind katika masomo mdogo wangu coz ukizembea tu sitoshangaa wewe kubeba mabegi na kurudi nyumbani baada ya mwaka wa masomo kuisha.... kuna masomo yanasumbua sana mwaka wa kwanza mfano comparative anatomy... biochemistry pamoja na histology.....

Kwa mwaka wa pili ni full bata... hapa utakula bata mpaka basi coz shule ni laini sijawahi ona.... mwaka wa 3 na mwaka 4 shule ya kibabe inarudi mziki wa hapa na mwaka 1 uko kama sawa hivi na ukizembea sitoshangaa wewe ku disco.... mwaka wa tano ndio bata kabisa hapo ni full kulala hapa nakuomba u turn your mind ukimaliza ukafanye mishe gani mtaani....coz life kwa sasa lime change kidogo coz uhitaji wa vet mtaani ume drop si kama zamani....

afu kama kawaida shule yetu inaendana na bata... kula bata kwa sana but not to that extent afu protocol yetu mule ndani vet wengi mademu zetu wengi huwa tunawatoa food science so hiyo chain msije ivunja madogo.....

wish u all the best dogo katika maisha yako mapya ya miaka 5 hapo sua... thou pia inaweza isiwe mitano ikawa miaka 6 or saba......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom