wise boi
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 363
- 795
Habari zenu wakuu,
Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuwa hai hadi muda huu na mema mengi anayozidi kunitendea katika maisha yangu.
Wakuu ,mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2017 ninayetarajia kujiunga na chuo mwaka huu.....
Namshukuru Mungu nimechaguliwa kujiunga na Sokoine university (SUA) kwa kozi ya BVM....
Najua humu ndani kuna watu mbalimbali.....waliosioma BVM..na wanaosoma sa ivi huko sua....na ambao wana uelewa kusu BVM........nlikuwa naomba ushauri kusu BVM ili nijue jinsi ya kupambana nao pindi ntakapofika huko chuoni.
Kwa pamoja tulijenge taifa letu.......
Asanteni.
[HASHTAG]#wise[/HASHTAG] boi
Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuwa hai hadi muda huu na mema mengi anayozidi kunitendea katika maisha yangu.
Wakuu ,mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2017 ninayetarajia kujiunga na chuo mwaka huu.....
Namshukuru Mungu nimechaguliwa kujiunga na Sokoine university (SUA) kwa kozi ya BVM....
Najua humu ndani kuna watu mbalimbali.....waliosioma BVM..na wanaosoma sa ivi huko sua....na ambao wana uelewa kusu BVM........nlikuwa naomba ushauri kusu BVM ili nijue jinsi ya kupambana nao pindi ntakapofika huko chuoni.
Kwa pamoja tulijenge taifa letu.......
Asanteni.
[HASHTAG]#wise[/HASHTAG] boi