funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,544
- 21,002
- Thread starter
- #21
na ndio wanachotakiwa wakisubirie hichoHao Wazazi bado wana mawazo ya kizamani kuwa binti hawezi kuishi mwenyewe kabla hajaolewa ataonekana hana nidhamu. Na umri utakapokwenda sana akaamua kuzalia hapo nyumbani watamruhusu? au ndio atapokea kipigo?