Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
good evening
Napenda leo niongelee kuhusu kujitambua watu wengi leo wameshindwa kutimiza ndoto zao kwasaababu ya kutojitambua na kukosa uthubutu watu wengi wana ndoto na malengo katika kupambana na umasikini lakini changamoto za watu wengi ni kukosa uthubutu mtu unakuta ana hela ya mtaji na anapania kufanya biashara fulani lakini afanyi kwa sababu ya uoga na kutojiamini kitu kinachoenda kuhalibu ndoto zake kwa kiasi kikubwa
Na kitu kinachopelekea watu wasiwe na uthubutu ni kukosa marafiki sahihi yaani marafik ambao wamewakumbatia ni wale ambao wameshindwa katika maisha kwaio ndio wanakua washauri wao wakubwa bila kujua kuwa hao wanapenda kuona watu wote wanashindea na wakili kuwa kitu fulani ni kigumu sana katika maisha na ukishakili kugumu katika kitu fulani hakiwezi kuwa kitu rahisi kwa sababu umeshakubali kuwa ni kigumu chukua kutoka kwangu ukitaka kufanya kitu kizuri punguza washauri katika kufanya mamboo yako jifunze kwa walioshinda yaani wenye mafanikio
Napenda leo niongelee kuhusu kujitambua watu wengi leo wameshindwa kutimiza ndoto zao kwasaababu ya kutojitambua na kukosa uthubutu watu wengi wana ndoto na malengo katika kupambana na umasikini lakini changamoto za watu wengi ni kukosa uthubutu mtu unakuta ana hela ya mtaji na anapania kufanya biashara fulani lakini afanyi kwa sababu ya uoga na kutojiamini kitu kinachoenda kuhalibu ndoto zake kwa kiasi kikubwa
Na kitu kinachopelekea watu wasiwe na uthubutu ni kukosa marafiki sahihi yaani marafik ambao wamewakumbatia ni wale ambao wameshindwa katika maisha kwaio ndio wanakua washauri wao wakubwa bila kujua kuwa hao wanapenda kuona watu wote wanashindea na wakili kuwa kitu fulani ni kigumu sana katika maisha na ukishakili kugumu katika kitu fulani hakiwezi kuwa kitu rahisi kwa sababu umeshakubali kuwa ni kigumu chukua kutoka kwangu ukitaka kufanya kitu kizuri punguza washauri katika kufanya mamboo yako jifunze kwa walioshinda yaani wenye mafanikio