Kujiongelesha

Kujiongelesha

abunerimgaya

Member
Joined
Nov 13, 2012
Posts
78
Reaction score
15
Kuna jamaa mwenzenu nimekaa nae mtu mzima anajiongeleshaaa
af mtu mzima
anasema sema siri zake na mke wake
anajisifu sifu anafikiri mi namuona mjanja
kumbe ananiboa niko busy nachart
hebu nisaidieni
nimjibu jibu gani ambalo hata endelea kujisemesha semesha na asijisikie vibaya.
 
akikuchekesha we kunja sura alafu msikilizie uone kama hajaaga?
 
msikilize kwa dakika kama 12 bila kutia neno zaidi ya kuitika "mmm, eeeeh, sawa, kumbee....", halafu baada ya dakika hizo onesha kushtuka na kumtazama usoni mwambie sikuwa na nasikiliza unasema nini, ebu rudia tangu mwanzo....., akianza kurudia wewe endelea kufanya mambo yako, na baada ya muda tena wa dakika kama 10 mwambie samahani nilihama tena kidogo, ebu rudia.....

Amin nakwambia, atanyanyuka na kwenda zake....
 
fanya km kwenye lile tangazo la zantel/ mh! ndio.... ehee! mh! mh! yeah! enhe enhee!, ndio! ukiona anaendelea mpe bonge la banz la kushtukiza ajue amekaa na mtu sio!
 
msikilize kwa dakika kama 12 bila kutia neno zaidi ya kuitika "mmm, eeeeh, sawa, kumbee....", halafu baada ya dakika hizo onesha kushtuka na kumtazama usoni mwambie sikuwa na nasikiliza unasema nini, ebu rudia tangu mwanzo....., akianza kurudia wewe endelea kufanya mambo yako, na baada ya muda tena wa dakika kama 10 mwambie samahani nilihama tena kidogo, ebu rudia.....

Amin nakwambia, atanyanyuka na kwenda zake....

Bonge la ushauri, hata mimi mtu akijielezea over nnachofanya ni mwendo wa....heeeeee....lini....ahaa....hebu rudia hiyo.....duuu, later kama haachi, namwambia its enough and we tune to nowhere.
 
Kuna jamaa mwenzenu nimekaa nae mtu mzima anajiongeleshaaa
af mtu mzima
anasema sema siri zake na mke wake
anajisifu sifu anafikiri mi namuona mjanja
kumbe ananiboa niko busy nachart
hebu nisaidieni
nimjibu jibu gani ambalo hata endelea kujisemesha semesha na asijisikie vibaya.
akiongea muda wote muonyeshee uso wa mbuzi na usionyeshe kusupport!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom