Kujifunza Kichagga

Kujifunza Kichagga

Matukutuku

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
269
Reaction score
127
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyokieleza! Naona sasa imefikia muda sasa wa kujifunza lugha yangu ya asili, msaada please kwa anayejua wapi labda kuna sehem wanafundisha Kichagga at least kile cha basic au ni namma gani nifanye angalau nikijue jue kidogo!

Pia kama kuna mwenye kamusi ya Kichagga - Kiswahili tafadhali asaidie hapa!

Nawasilisha
 
Uchagani kuna lugha tofauti zaidi ya kumi....wewe unajifunza cha wapi...
 
osho nkufunde kimashami............

uchagan kuna lugha nyingi, kimachame, kirombo, kikibosho, kimarangu, kisiha, kiuru na kiold moshi.

wachaga wa kirua, oldmosh na marangu wanasikilizana rtofauti ipo kwenye maneno machahce sana,

wamachame wao wanaongea tofauti kabisaa, na warombo pia na katika hawa warombo kuna wa mkuu na warombo wa mashati hawa nao pia wanatofautiana kimatamsh ya manneo.

wakibosho wanaongea tofauti pia na watu wa siha ivo ivo.
 
osho nkufunde kimashami............

uchagan kuna lugha nyingi, kimachame, kirombo, kikibosho, kimarangu, kisiha, kiuru na kiold moshi.

wachaga wa kirua, oldmosh na marangu wanasikilizana rtofauti ipo kwenye maneno machahce sana,

wamachame wao wanaongea tofauti kabisaa, na warombo pia na katika hawa warombo kuna wa mkuu na warombo wa mashati hawa nao pia wanatofautiana kimatamsh ya manneo.

wakibosho wanaongea tofauti pia na watu wa siha ivo ivo.

Kiold Moshi itakuwa poa zaidi
 
mkuu nenda bookshop kuna vitabu vya dini kwa lugha ya kichaga vinaweza kuwa msaada kwako
 
Ncho njikuloshe.....njoo ni kufundishe,nukelaho uuh...jina lako nani...mkuu tuma ada kweny mpesa yangu upate darasa full kiold moshi.
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyokieleza! Naona sasa imefikia muda sasa wa kujifunza lugha yangu ya asili, msaada please kwa anayejua wapi labda kuna sehem wanafundisha Kichagga at least kile cha basic au ni namma gani nifanye angalau nikijue jue kidogo!

Pia kama kuna mwenye kamusi ya Kichagga - Kiswahili tafadhali asaidie hapa!

Nawasilisha


Hakuna kitu kama Lugha ya Kichaga Dunia hii, ila kuna makundi ya watu wanaongea lugha mbali mbali za Kibantu wanaojiita Wachaga!
 
Anayejua KiOldmoshi Ajitokeze, Maana Hata Mimi Nimebaki Na Vijimsamiati Vichache Mno. Halafu Ashushe Tirio Kwa Mpangilio.
 
Back
Top Bottom