Kujifungia ndani kwa Rais Magufuli kutaligharimu taifa

emalau

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
2,775
3,100
Ni juzi tu rais Magufuli alitoa amri ya kutoondolewa kwa wamachinga sehemu ambazo walikuwa wanafanya biashara zao maeneo ya katikati ya mji ususan mji wa Mwanza. Kwa kuitikia amri yake jana mji wa Bukoba na Mwanza watu wameanza kujenga vibanda vyao pembezoni mwa barabara na kupanga vitu mbele ya maduka ya wafanyabiashara waliosajiliwa na wanaolipa kodi zote.

Hii siyo tu imewakatisha tamaa watendaji wa chini ambao hawatafanya maamuzi tena bali pia imetoa funzo kwamba kiongozi mkuu wa nchi hutakiwi kuwa wa kwanza kutoa kauli kwenye masuala nyeti kama haya, angesubiri "nyoka" wake waseme kwanza yeye amalizie baada ya kuona consequeces.

Pamoja na maelezo yangu hapo juu mimi naona chanzo cha maamuzi haya ni lack of exposure kwa kutotembelea nchi zilizoendelea kuona miji yao imepangwa je na kujifunza hao matching guys wanakuwa treated namna gani. Kwa kuwa yeye ameamua kuwa waziri wa mipango miji namshauri atembelee nchi mbalimbali zilizoendelea ajifunze kama matching guys wanajenga vibanda kila mahali au la.

Nawakilisha wanabodi
 
Yaani unafikiri hivi ni vitu vya kujifunza kwa ziara za siku tatu tatu huko kwenye nchi zilizoendelea? Ha ha ha, acha kujidanganya.
Kweli kabisa miaka yote tulifanya hivyo . .sasa kwa nini tusijaribu kufanya vingine? hiyo pattern ya kwenda nje haitusaidii tena . ..acha tukae kwetu mpaka kieleweke!
 
Ni juzi tu rais Magufuli alitoa amri ya kutoondolewa kwa wamachinga sehemu ambazo walikuwa wanafanya biashara zao maeneo ya katikati ya mji ususan mji wa Mwanza. Kwa kuitikia amri yake jana mji wa Bukoba na Mwanza watu wameanza kujenga vibanda vyao pembezoni mwa barabara na kupanga vitu mbele ya maduka ya wafanyabiashara waliosajiliwa na wanaolipa kodi zote.

Hii siyo tu imewakatisha tamaa watendaji wa chini ambao hawatafanya maamuzi tena bali pia imetoa funzo kwamba kiongozi mkuu wa nchi hutakiwi kuwa wa kwanza kutoa kauli kwenye masuala nyeti kama haya, angesubiri "nyoka" wake waseme kwanza yeye amalizie baada ya kuona consequeces.

Pamoja na maelezo yangu hapo juu mimi naona chanzo cha maamuzi haya ni lack of exposure kwa kutotembelea nchi zilizoendelea kuona miji yao imepangwa je na kujifunza hao matching guys wanakuwa treated namna gani. Kwa kuwa yeye ameamua kuwa waziri wa mipango miji namshauri atembelee nchi mbalimbali zilizoendelea ajifunze kama matching guys wanajenga vibanda kila mahali au la.

Nawakilisha wanabodi


Kwani wakati wa Kikwete na Mkapa kulikuwa hakuna Wamachinga? Au neno Machinga limeanza kutumika wkt wa Magufuli kwa maana wote Kikwete na Mkapa walikuwa kiguu na njia Dunia nzima!
 
Ikibidi na barabara zifugwe tu wapewe wamachinga wafanye biashara tu
Hili siyo geni. Ni maamuzi ya halmashauri husika.

Tatizo la machinga ni kwamba limelelewa kisiasa tangu enzi.

Mbaya zaidi serikali za mitaa chini ya waheshimiwa madiwani hazichukui hatua stahiki mapema.

Baadhi ya machinga wa leo wamezaliwa na wazazi ambao ni wa machinga na wakakulia barabarani. Ukiwaondoa hawakuelewi maana wanaona ni sahihi kufanya biashara barabarani.
 
Aahhhhhhhh tumeshachoka siee yatapita tu na muda wake utaisha kama wenzake dunia hii
 
Kwani wakati wa Kikwete na Mkapa kulikuwa hakuna Wamachinga? Au neno Machinga limeanza kutumika wkt wa Magufuli kwa maana wote Kikwete na Mkapa walikuwa kiguu na njia Dunia nzima!

Lakini Mkapa na Kikwete hawakuwahi kuruhusu wamachinga wafanye biashara barabarani kisa eti kura. Ndo maana nikatanguliza kwamba rais wa nchi anatakiwa awe wa mwisho kuongea, akiongea wakwanza akaharibu kama ilivyo sasa kurekebisha hali ni ngumu.
 
Kabla hajawa Rais alitembelea na akaja na plan ya mipango miji kwa sasa anatafuta huruma ya wananchi baada ya kuwasomesha namba.
Alitembelea kwa siku tatu? Umewahi kusikia ziara ya rais ya angalau mwezi mmoja kwenye nchi yeyote ile?
 
Hatabiriki. Atakuja kuwageuka muda si mrefu.
Sijui kama anapima kile anachoongea, atagundua alikosea muda sio mrefu ndo atawageuka.
 
Washauli Wa Mh Rais Wa Tanzania Wa hawamu ya tano, Mngemshauli Mh Rais na mngemkumbusha kuwa pale anapita kama walivyopita Maraisi wengine na muda wake utafika na atakuja Mh Rais mwingine. Aache mambo yaendelee aachie fedha ziwe kwenye mzunguko, kwenye wizara zote apeleke Pesa za kutosha,,abane vitu muhimu na sio kusumbua watu kila kukicha ye hana imani na anaowateua kila tahasisi katumbukiza usalama Wa taifa,sa tunaogopa tu leo wamachinga kesho bar kesho kutwa shisha kidogo wanaojiuza ni Nouma sana... Mkuu Wa nchi unatakiwa muda wako ukiisha watu wakukumbuke kama malaika na sio ile kauli ya watu kuishi ka mashetani.....
 
Kwenye diplomasia tumeshapoteza sana. Maraisi wa mataifa mengine hawamjui raisi wetu....na pia hawajui namna ya kudeal nae likitokea tatizo lolote na hiyo ni hatari
 
Ni juzi tu rais Magufuli alitoa amri ya kutoondolewa kwa wamachinga sehemu ambazo walikuwa wanafanya biashara zao maeneo ya katikati ya mji ususan mji wa Mwanza. Kwa kuitikia amri yake jana mji wa Bukoba na Mwanza watu wameanza kujenga vibanda vyao pembezoni mwa barabara na kupanga vitu mbele ya maduka ya wafanyabiashara waliosajiliwa na wanaolipa kodi zote.

Hii siyo tu imewakatisha tamaa watendaji wa chini ambao hawatafanya maamuzi tena bali pia imetoa funzo kwamba kiongozi mkuu wa nchi hutakiwi kuwa wa kwanza kutoa kauli kwenye masuala nyeti kama haya, angesubiri "nyoka" wake waseme kwanza yeye amalizie baada ya kuona consequeces.

Pamoja na maelezo yangu hapo juu mimi naona chanzo cha maamuzi haya ni lack of exposure kwa kutotembelea nchi zilizoendelea kuona miji yao imepangwa je na kujifunza hao matching guys wanakuwa treated namna gani. Kwa kuwa yeye ameamua kuwa waziri wa mipango miji namshauri atembelee nchi mbalimbali zilizoendelea ajifunze kama matching guys wanajenga vibanda kila mahali au la.

Nawakilisha wanabodi
Hata angekuja na wazo tofauti bado mngekuja humu kupinga.
 
Washauli Wa Mh Rais Wa Tanzania Wa hawamu ya tano, Mngemshauli Mh Rais na mngemkumbusha kuwa pale anapita kama walivyopita Maraisi wengine na muda wake utafika na atakuja Mh Rais mwingine. Aache mambo yaendelee aachie fedha ziwe kwenye mzunguko, kwenye wizara zote apeleke Pesa za kutosha,,abane vitu muhimu na sio kusumbua watu kila kukicha ye hana imani na anaowateua kila tahasisi katumbukiza usalama Wa taifa,sa tunaogopa tu leo wamachinga kesho bar kesho kutwa shisha kidogo wanaojiuza ni Nouma sana... Mkuu Wa nchi unatakiwa muda wako ukiisha watu wakukumbuke kama malaika na sio ile kauli ya watu kuishi ka mashetani.....

Ni kweli mkuu, mawaziri wako tu majina, hii ni bendi ya mtu mmoja
 
Back
Top Bottom