wewe wasema nini?Wewe wasema
wewe wasema nini?Wewe wasema
Sasa laki tatu ndio kitu cha kuogopa kwa mtu aliyatayari kupambana na masomo miaka mitano?Wewe chuo gan cha udaktari umewah omba?? Hapo hiyo laki unawezs lipa vyuo vitatu tuu ikaisha...
Sijasema watu wasisomewewe wasema nini?
Umesoma chuo gani?Habarini, nina swali nimemaliza clinical medicine mwaka huu nina GPA ya Tano. Nataka kujiendeleza MD bahati mbaya nafasi za MD Serikalini kumejaa na private siwezi kumudu ada, nauliza mwakani nikiapply naweza kupata chuo kama MUHAS na kuhusu mkopo kuna uwezekano wa kupata?
O level nina dv 2 ya 21 phy D, chem C , bios C na maths D .
Na wewe ulitaka yaishe...[emoji28][emoji16]Ndo maana magonjwa hayaishi Tz
Sasa kwann utumie laki 3 sehem ya kutumia elf 20? We jamaa ww[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa laki tatu ndio kitu cha kuogopa kwa mtu aliyatayari kupambana na masomo miaka mitano?
Ni sahihi kabisa Mimi chuo nilichosomea Diploma yangu Kuna watu wengi tu wameenda muhas na wanachanja mbunga now mwaka wa tatu na wengine walimaliza mwkaa Jana... na cheti Cha four walipata four za 26 ila walipiga D flat kwnye masomo ya Phy, chem,bios, mathWewe omba ndugu yangu hapo MUHAS unapata na mkopo juu, Usisikilize sana hao watu wanaokuogopesha kuwa Muhas ni pagumu hakuna ugumu wowote ule mimi kuna jamaa yangu tumemaliza nae O level alipata Div Four ya 26 kipindi cha Kikwete ile wanafunzi walivyofeli sana hadi wakafanya kutoa matokeo mara ya pili bado akabaki na iyo Four ya 26 akaenda zake Certificate akapiga na Diploma akaomba hapo MUHAS akapata na mkopo walimpa alivyofika hapo akawa ndio class leader kwenye masuala ya taaluma mwisho ameacha historia hapo MUHAS alitoka na Gpa kali hadi wakampa offer abaki hapo Muhimbili hospital ila alipata fursa fulani yupo Botswana huko saivi Hospitali nyeti ya vigogo wa serikali anakula maisha tu safari za nje ni kugusa anakuwa hadi kwenye safari ya mkubwa wa nchi na kwa mwezi ananiambia anakunja Si chini ya 25M
Usenge mtupu hii imefavor wengi na pia imenyonga wengi.Hivi hii ni kwelii?
Maana nilishangaa mshikaji mmoja karibia kila CAT anapiga zake GPA ya 2.0 havuki hapo wala hashuki hapo.
Cha kushangaza paper la mwisho mwaka wa tatu kakunja GPA ya 4.7
Kwa lugalo kupata 5 hapo nakubali maaa siri mnaijua wenyewe na walimu wenu.Dsm lugalo
5 kama hawatakuangalia peformance yako ya nyuma basi unapata bila shida ila ushindani upo.Ila ndo hivyo chief, ok probability ya kupata Md muhas ipoje ndg?
Inawezekana Man kwanza mtaala wao ulibadilika walibaki na masomo 4 pekee na pia semista ya ndani vyuo kama lugalo na vingine vya private hawabaniwi kabisa ili wapigie GPA kubwa iwasaidie semista ya mwisho. 2021 kama sikosei hapo Lugalo wa mwisho alikua na GPA ya 4.3Mmmh GPA ya 5, chuo gani mkuu??
Afu janja using'ang'anie tu Muhas nakushauri kwa elimu yetu ya Bongo kama unataka kufika mbali zaidi achana na Muhas wanakamia sana unaweza jikuta unapata GPA ya kawaida ukashindwa kujiendeleza.Vip uwezekano wa kupata muhas?
Kiufupi kwasasa udaktari ni ualimu uliochangamka ili upate hela utateseka hasa.Wanafunzi wengi wanakimbilia MD either kutaka sifa mtaani kwamba mfulani ni daktari au wanadhani madaktari wanalipwa pesa nyingi sana, kumbe msharaha haujawahi kutosha mkuu. kama umeamua kusoma MD soma kwa ajili ya passion tu sio kutafuta sifa za kijinga.
Slot hazizid 20 sasa jiulize inakuaje.Usiende acha kukaza kichwa eti utamtegemea Mungu kwani wengine watamtegemea shetani. Nenda vyuo vingine kwanza uwezekano wa MUHAS kukuchagua ni mdogo.
Unajua kwanini vyuo huwa vinalimit intake ya kutoka diploma? Sababu ni hizo GPA zenu, na MUHAS ndio kabisa wanatoa nafasi chache zaidi kwa diploma
Shukrani sana🙏🙏🙏Wewe omba ndugu yangu hapo MUHAS unapata na mkopo juu, Usisikilize sana hao watu wanaokuogopesha kuwa Muhas ni pagumu hakuna ugumu wowote ule mimi kuna jamaa yangu tumemaliza nae O level alipata Div Four ya 26 kipindi cha Kikwete ile wanafunzi walivyofeli sana hadi wakafanya kutoa matokeo mara ya pili bado akabaki na iyo Four ya 26 akaenda zake Certificate akapiga na Diploma akaomba hapo MUHAS akapata na mkopo walimpa alivyofika hapo akawa ndio class leader kwenye masuala ya taaluma mwisho ameacha historia hapo MUHAS alitoka na Gpa kali hadi wakampa offer abaki hapo Muhimbili hospital ila alipata fursa fulani yupo Botswana huko saivi Hospitali nyeti ya vigogo wa serikali anakula maisha tu safari za nje ni kugusa anakuwa hadi kwenye safari ya mkubwa wa nchi na kwa mwezi ananiambia anakunja Si chini ya 25M
Kikanda?!!Kanda gani chuo ulicho kuwa ukisoma?
Maana siku hizi nasikia wanatoa matokea kikanda.
Now CO ndugu ni hatari,ona hata kwenye mikopo ya diploma CO haipo kwenye vipaumbele.Kikanda?!!
Ina maana hii kada imefurika kiasi hiki, yaani vyuo ni kama shule za kata kiasi mpaka matokeo yatoke kikanda?