CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Viongozi wetu walikamatwa kabla hakujakucha,na walikuwa wamejitoa kuwa front line kuongoza maandamo.Mbona nyie mliwapata moyo viongozi wenu kua mtaandamana 'kwa amani' asubuhi yake hamkutoa pua zenu nje,
Huo sio USALITI?