Nimekuwa nikishinda hapa JF usiku na mchana muda tena sasa nasubiri press ya kina Halima Mdee na wenzake kujibu Maamuzi ya Kamati kuu ya CHADEMA ya kufukuzwa kwao uanachama mpaka nimechoka., Sasa nimekata tamaa naomba ni logout labda hawakuwa na majibu. Lakini je, tuseme:
1. Wamekubali kwamba wametenda kosa?
2. Ubunge wao ambao waliapa umebatilika ama watahudhuria bungeni kama kawaida.
3. Wataenda Mahakamni kupinga kufukuzwa kwao uwanachama?
4. Wana mpango wa kuomba radhi na hawataenda tena bungeni watarudi kutoka Dodoma kuja kujenga chama chao?
5. Wana mpango wa kujiunga na CCM rasmi ili kuitikia wito wa Bashiru?
6. Wameshindwa kutoka nje wanajisikia aibu kwa walichofanya?
1. Wamekubali kwamba wametenda kosa?
2. Ubunge wao ambao waliapa umebatilika ama watahudhuria bungeni kama kawaida.
3. Wataenda Mahakamni kupinga kufukuzwa kwao uwanachama?
4. Wana mpango wa kuomba radhi na hawataenda tena bungeni watarudi kutoka Dodoma kuja kujenga chama chao?
5. Wana mpango wa kujiunga na CCM rasmi ili kuitikia wito wa Bashiru?
6. Wameshindwa kutoka nje wanajisikia aibu kwa walichofanya?