Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,786
- 13,561
Hebu jirekodi afu jisikilize
Hata Dr slaa mlimuita msaliti na matusi ya kutosha mlimtukana lakini tangu ameondoka hali ya chadema inazidi kudhoofika kila siku, hata nafsi zenu mnajua pale mlikosea,hawa nao watukaneni muwezavyo lakini mjue chama ndo kinaelekea kibra hivyo, na wala msiamini chadema itakuja kuwa na nguvu tena kwa aina ya viongozi kama Mnyika, salum mwalimu sijui kigaila mtaendelea kufanya harakati na sio siasa za kuchukua dora.