ForeverMore
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 813
- 1,928
Naona kuna vijana wengi wapo vizuri kwenye kuandika na kupost vitu humu karibia kila siku. Kwanini tusitumie uwezo huo kujiingizia kipato? Bei na maamuzi ni yako, unaweza fanya ku charge kwa siku, wiki, mwenzi au kwa idadi ya posts utakazo post kwenye social media za watu kama makampuni au biashara mbalimbali.
Ukiingia kwenye social media, utakutana na accounts nyingi ambazo mara ya mwisho ku post ni miezi. Ni kwamba mara nyingi wahusika hawana muda.
Raha ya hii kitu, ni kwamba unaweza ku manage account za kampuni nyingi kwa wakati mmoja. Utatakiwa ku post vitu vinavyo husu kampuni husika kwenye social media zao siyo ili mradi tu.
Kama nilivyosema, bei na idadi ya post ni maamuzi yako. Ningeweza kuandika zaidi sema jamaa hawa (Jf Moderators) hawataki links humu, mara nyingi wana futa post za namna hiyo. Haswa link za mitandao ya bongo. Kwa hiyo nitajibu nitavyoweza kwenye comments ila kwa maelezo zaidi una weza ni PM for details na hata kuongea kwa whatsapp call.
Watu wanao jua graphic designs yani kwao ndo raha mara dufu.
Vijana tuanze kuangalia njia mbadala za kujiajiri. Tunahitaji kuwa wajanja kwenye kutafuta pesa. Mfano wenzetu wanavyofanya, hapa bongo tunaweza pia na sehemu ya kuwezesha ipo.
Ukiingia kwenye social media, utakutana na accounts nyingi ambazo mara ya mwisho ku post ni miezi. Ni kwamba mara nyingi wahusika hawana muda.
Raha ya hii kitu, ni kwamba unaweza ku manage account za kampuni nyingi kwa wakati mmoja. Utatakiwa ku post vitu vinavyo husu kampuni husika kwenye social media zao siyo ili mradi tu.
Kama nilivyosema, bei na idadi ya post ni maamuzi yako. Ningeweza kuandika zaidi sema jamaa hawa (Jf Moderators) hawataki links humu, mara nyingi wana futa post za namna hiyo. Haswa link za mitandao ya bongo. Kwa hiyo nitajibu nitavyoweza kwenye comments ila kwa maelezo zaidi una weza ni PM for details na hata kuongea kwa whatsapp call.
Watu wanao jua graphic designs yani kwao ndo raha mara dufu.
Vijana tuanze kuangalia njia mbadala za kujiajiri. Tunahitaji kuwa wajanja kwenye kutafuta pesa. Mfano wenzetu wanavyofanya, hapa bongo tunaweza pia na sehemu ya kuwezesha ipo.